Sunday, November 21, 2010

Harufu ya Wizi Yanukia UDOM

Makamu mkuu wa  chuo Prof. Idrisa Kikula
LEO wapenzi wa blogu hii nitaongelea kidogo kuhusu wanafunzi wa chuo Kikuu cha Dodoma  (Udom), katika hali ya kushangaza na kusikitisha na pengine kupelekea kuathiri kisaikolojia katika hali ya kufikiri na kujiwekea malengo kwa wanafunzi hao.

Katika pitapita zangu kama mwandishi wa habari nilikutana na wanafunzi hao na waliponiona tu, wakanipokea kwa shangwe sana huku sura zao zikionyesha kupata furaha ya kuniona, nami kwa hali kama hiyo nilijikuta nawauliza kulikoni kisaikolojia wanaonekana kufadhaika sana?. Lakini kwa sura za huzuni wakanijibu.

"Kaka tunasikitishwa sana na harufu ya wizi inayotukabili katika chuo chetu" alisema Hamisi mwanafunzi wa mwaka wa tatu na kuongeza kuwa; "Harufu ya wizi inanuka hapa chuoni tunalazimishwa kulipa direct costs kubwa sana tofauti na miaka ya nyuma"

Wanafunzi hao waliendelea kusema kuwa mwaka huu wa masomo 2010/2011 wanalazimishwa kulipa direct costs jumla ya shilingi Tshs. 88,000/= kwa mhura, tofauti na mwaka wa masomo uliopita ambapo walilipa jumla ya Tshs. 76000/=

Walisema kutokana na kauli ya uongozi wa chuo hicho UDOSO waliwataka wasilipe pesa hizo bali walipe kiasi cha Tshs.81,000/= ambapo walichanganua kuwa accomodation ni Tshs. 56,000/= pesa ya mtihani ni Tshs. 20,000/= na hela ya usajiri ni Tshs. 5,000/= jumla Tshs. 81,000/=, lakina pamoja na tamko la UDOSO uongozi wa chuo bado unakataa, jambo ambalo linawasikitisha wanafunzi hao.

Walisema chuo kinatakiwa kutoa maelezo ya kutosha ili kuwalizisha wanafunzi hao kwani bila maelezo ya kutosha wanaona kama wanaibiwa pesa zao, na ukizingatia wengi wao wanatoka katika familia masikini sana .

Sasa ndugu wanablogu wenzagu sasa tujadili kuhusu chuo hicho kuwa na utaratibu usioeleweka kwa wanafuzni. Je, dalili gani hasa? Je, ni utaratibu mzuri unafanya na chuo chetu  kikuu Afrika mashariki na kati? Tatizo liko wapi kwa uongozi wa chuo au? Nakaribisha maoni yenu bonyeza katika kisantuku kilichoandikwa toa maoni na utoe maoni yako yatasomwa na watanzania dunia nzima.

Monday, November 15, 2010

Jinsi ya Kumfanya Mwanamume Apagawe na Penzi Lako

LEO nimependa  kuongerea kuhusu  namna ya kudumisha penzi iwapo wewe umeolewa hasa kwa kina mama ambao penzi lao ninaelekea kuyeyuka. Na bila jitihada za hapa na pale penzi lako na mumeo linaweza kunyauka kabisa!!! Na ukumbuke wahenga walisema PENZI ni MAUA kuna kuchanua na kunyauka. Na penzi linaponyauka huwa yanatokea maumivu makali sana ndani ya moyo, maumivu ambayo hayana kifani. Sasa ufanye nini ili penzi lako lisinyauke? Zingatia yafatayo:

i) Hakikisha unakuwa karibu na mumeo
ii) Mumeo akirudi kutoka safarini au kazini mupokee kwwa mabusu na upendo wa hali ya juu
iii) Kama utakuwa na nafasi jitahidi kumuandikia msg mumeo za upendo na kumfariji
iv) Na mwisho kumbuka kuwa munapokuwa katika sita kwa sita jitahidi kutoa sauti ya mahaba huku ukijitahidi sana kumpa penzi kutumia ujanja wako, na kama atamaliza mwambie "POLE MUME WANGU"

.
Kwa leo ninakomea hapo kumbuka kuwa wanaume ni watu wa kujaliwa kila wakati na kubembelezwa Mwanasaikolojia wa mapenzi Dr. Linda wa chuo kikuuu cha Oxford aliwahi kunena ya kwamba hakuna dawa ya mapenzi zaidi ya kuonyesha upendo kwa umupendae.

Saturday, November 13, 2010

THE WORD RELATIONSHIPS

Relationships move beyond friendship. They occur when two people feel emotionally attached, fulfill each other’s needs and generally feel interdependent. When a true relationship exists, several components are present:

Trust; relationships must be built on a foundation of trust. We need to be to count on others and feel that they will be open with us.
Honesty; no relationship can survive if the partner are no honest with one another. Each partner must share a commitment of truth. Those in good relationships accept one another, blemishes and all. A relationship based on untruths or even half-truths lacks depth and meaning.

Mutual support; healthy relationships are characterized by mutual support. A partner’s well-being should have an impact on you, and your well-being should affect your partner. In best way the partner seek out what is best for both, and they act as advocates for and defend each other.

Loyalty; the mark of a good relationship is loyalty. Loyalty implies the relationship partners are supportive of each other, even in times of adversity and difficulty.
Acceptance; your best friend develops a love for the Dave Mathews band and listens to their CDs seemingly without interruption. You can’t stand listen to them. Do you decide that you can no longer be friends? Of course not.

BULDING LASTING RELATIONSHIPS

Few of us we lead our lives isolation. There’s reason for this: relationships with others a critical aspect of our sense of well-being. The support of friends and relatives helps us feel good about ourselves. In fact studies have found that our physical and psychological health may suffer without friendships. The social support of others acts a guard against stress and illness. And if we do get sick, we recover more quickly if we have a supportive network of friends.

“I have met the most amazing individuals and made the most incredible friends in such a short amount of time” Said Lenny UDOM University student

Although some of us making friend is ease, for others making friends is some difficult. But building relationships is not a mystery. Here are several ways to go about it.

Invest time with others; there is no better way to demonstrate that you are interesting in friends than investing time. You can expect friendships to flourish unless you spend time with people.

Reveal yourself; good friends understand each other. The best way to make that happen is to let others get to know you. Talk about where you come from, what is your family like. Find out about the other person. Having deeply understanding about where someone comes from not only helps to build bridges between people of different racial and ethnic backgrounds but it also helps build friendships. By honestly communicating your beliefs and altitudes, you give others the chance to learn those things you have in common.

Let other know you like them; it seems scary, but don’t be coy and try to pretend you are uninterested in the friendships of others. Take the risk of being rebuffed. You don’t have to announce outright that you like someone. Instead reveal you interest in a friendship by inviting the person to do something with you or simple by engaging in conversation, sharing something about your life. Your actions will speak louder than word

Accept others as they are; not as you would like them to be; one mark of friend is to acceptance of people the way they are, warts and all, and not way would like them to be. Do not impose conditions on accepting others. Keep in mind that no one is perfect and that everyone has both good and bad qualities.
Show concern and caring; this is really the substance of friendship and the basis for the trust that develops between friends. Don’t be afraid to show your interest in the fortunes of others and to share the sadness then they share some setback or loss.

Not everyone make a good friend; people who put you down, consistently make you feel bad, or behave in ways that violate your own personal standards are not friends. Choose your friends based on the good feelings you have when you are with them and the concern and caring they show for you. Friendship is a two way street.

Friday, November 12, 2010

The Ways That Make Success in Life & Education


ORGANIZE
By determining where you want to go and expressing your goals in terms that can be measured, you have already made a lot of progress. You might thing you’re now ready to head out and begin the intellectual trip to student success. Consider the tools for studying

WORK
You’re ready. Preliminaries are out of the way. You’ve prepared and you’ve organized. Now its time to get started actually doing the work. In this consider the following:

•Effort is the causes of success

•Be response to your failures; when you do poorly don’t blame the teacher, text books, or job that keep away from studying.

•Think positively, assume that the strength that you have will allow you to succeed and that and if you have problems you can figure out what to do.

•Accept that you can’t control every thing; think things that can be changed and those can’t.



EVALUATE
In this you should do an evaluation of your work, and after that you should do the following:

•Take a moment to congratulate yourself and feel some satisfaction. If you have done the work according to reach your goals or at least to the point of reaching goal just congratulate yourself.

•Compare what you’ve accomplished with the goals you’re seeking to achieve. Think back to the goals, both short-term and long-term that you are seeking to achieve.

•Evaluate what you’ve done if you were your current instructor. Now exchange body and mind again. This time, consider what you’re doing from the perspective of the instructor w ho gave you the assignment. How would he/she react to what you have done?

•Be fair to yourself; the guidelines for evaluation will help you to determine just how further work is necessary and, even more important, what work is important?

•Based on your evaluation, revise your work; if you’re honest with yourself it’s unlikely that your first work will satisfy you. So go back to work and revise to what you have done.

RETHINK
Rethink what you have accomplished earlier means to bring a fresh eye to what you have done. It involves critical thinking that involves reanalyzing, questioning and challenging our underlying assumptions.

Strategies for Success in College and Life

Dear Student,

Do you find that there’s not enough time t o accomplish all the things you want to do? Do you put off studying for tests until the last minute? Do you sometimes have trouble making decisions?

If so you’re not alone. Every first year college student encounters challenges such as these, and many others. That’s where Psychology Blog brings to learning strategies for success in colleges and life come in it. It is designed to help you master the challenges you will face in college and in you are everyday life. The over learning system which is based on five key steps embodied in word POWER (Prepare, Organize, Work, Evaluate and Rethink). These teach strategies that will help you to become a more successful student and that will give you an edge in attaining what you want to accomplish in your life.

But it’s up to you to make use of this blog. By familiarizing yourself with its features and using the built-in learning aids, you’ll maximize its usefulness and be more likely to get the most out of it.