Wednesday, March 28, 2012

JAMANI NIMERUDI TENA NILIKUWA MASOMONI

IMERUDI tena kwenye kibaraza chetu, karibuni sana nilikuwa nigeria nasoma masters ya Journalism Curriculum Development and Designing nimemaliza nimerudi TZ  coz naipenda nchi yangu japo mafisadi wananikatisha tamaa mpaka nilifikia uamuzi wa kutaka nisirudi TZ lakin rafiki yangu mpendwa Cretus  akanishauri nirudi nimefurahi kukutana na watanzania wenzangu. Hapo juu ni dada ambaye alinisaidia kuchapa RESEARCH REPORT yangu, ni dada mkarim sana hakika sitamsahau ktk maisha yangu, bila yeye yawezekana nisingemaliza masomo yangu.

Jamani nimekumbuka kitu kimoja niliambiwa na rafiki yangu ambaye tulikuwa tunasoma naye huko nje aliniambia "Tanzania ni nchi nzuri sana lakini kuna ufisadi mkuu katika sekta ya elimu hasa wanapoajiriwa walimu wapya kwani huwa hawalipwi mishahara yao miezi miwili kitu ambacho kinawafanya waishi maisha ya kuomba omba kwa wanafunzi na walimu wengine" maneno haya yalitia uchungu sana na nchi yangu. Ni hayo tu ila nawaomba tujadiri "JE NCHI YETU INATOA HAKI KWA WALIMU???????? Kazi kwenuuuuuuuuuuu.

5 comments:

Yasinta Ngonyani said...

karibu tena...ila ni vibaya kuondoka bila kuaga unajua...

Masangu Matondo Nzuzullima (MMN) said...

Karibu tena Mwanasaikolojia. Tunategemea kuona matunda ya kile ambacho umekipata katika masomo.

Huyo mchungaji Denis ni wa madhehebu gani?

Unknown said...

can we share a little bit in curriculum and psychology?

Anonymous said...

Ushuhuda Wangu wa Kutoka Moyoni 💖

Baada ya baba yangu mdogo kuniacha kwa miezi saba mirefu, nilikuwa nimevunjika moyo kabisa. Alinizuia kwenye mitandao yote ya kijamii, akaondoka, na hakukuwa na njia ya kumfikia. Karibu nikate tamaa, lakini ndani kabisa nilijua singeweza kupata mtu yeyote ambaye angenipenda na kunitendea jinsi alivyonitendea.

Siku moja, bosi wangu kazini aligundua jinsi nilivyokuwa na huzuni na akanitambulisha kwa Dkt. Dawn. Dkt. Dawn alisikiliza hadithi yangu na akaahidi kwamba mpenzi wangu angerudi kwangu ndani ya siku tatu. Kwa kweli, sikuamini mwanzoni—lakini kwa mshangao wangu mkubwa, siku ya tatu simu yangu iliita. Ilikuwa yeye! Alikuwa akilia na kuomba msamaha, akisema hataniacha tena.

Tangu siku hiyo, uhusiano wetu umekuwa na nguvu na uzuri zaidi kuliko hapo awali. Amekuwa akipenda na kunijali mimi na mtoto wetu, na sasa tunafunga ndoa katika miezi miwili tu! ❤️

Shukrani zote kwa Dkt. Dawn, ambaye kwa kweli alifanya jambo lisilowezekana liwezekane. Ninampendekeza kwa moyo wote kwa yeyote anayekabiliwa na changamoto katika:

Masuala ya uhusiano au ndoa

Ugonjwa au magonjwa

Matatizo ya utasa au bahati nasibu

Kesi za mahakamani au urejeshaji wa mali

Dkt. Dawn kweli hutatua matatizo kwa ufanisi na hurudisha furaha katika maisha ya watu.

Wasiliana na Dr. Dawn kwenye WhatsApp: +2349046229159
Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com

Anonymous said...

🌹 Ushuhuda Wangu Kuhusu Dkt. Dawn – Mtu Aliyerejesha Nyumba Yangu na Furaha Yangu

Nataka kushiriki ushuhuda wangu wa dhati kuhusu jinsi Dkt. Dawn alivyobadilisha maisha yangu kabisa.

Kwa karibu mwaka mmoja, mume wangu aliniacha mimi na watoto wetu wawili. Aliacha kujali, akaacha kupiga simu, na alikuwa ameenda kabisa. Nilikuwa nimevunjika moyo, nimechanganyikiwa, na karibu kupoteza tumaini. Kisha siku moja, rafiki aliniambia kuhusu Dkt. Dawn, mtu wa kiroho aliyepewa kipawa na ulimwengu kuwasaidia watu kurejesha upendo na amani.

Mwanzoni, nilikuwa na shaka, lakini kitu kuhusu maneno yake kilinipa amani. Aliniambia haswa kilichokuwa kibaya na kwamba mtu alikuwa ametupa uchawi mkali kututenganisha. Aliandaa kazi maalum ya kiroho na uchawi wa kuungana tena kwangu — na ndani ya siku chache, mume wangu alinipigia simu ghafla, akilia na kuomba msamaha.

Tangu wakati huo, maisha yangu hayajawahi kuwa sawa. Ndoa yetu sasa ni tamu na yenye furaha zaidi duniani. Tunapendana zaidi kuliko hapo awali, na nyumba yetu imejaa vicheko na baraka.

Lakini si hayo tu — Dkt. Dawn pia alisaidia kuondoa bahati mbaya na nishati hasi iliyokuwa ikizunguka familia yetu. Tangu wakati huo, kila kitu kimekuwa laini: amani nyumbani kwetu, maendeleo ya kifedha, afya njema, na furaha safi.

Ninashukuru ulimwengu kila siku kwa kuniongoza kwa Dkt. Dawn. Kwa kweli ni mtu mwenye nguvu na mwanga wa kimungu. Ikiwa unapitia hali yoyote — huzuni, bahati mbaya, au mkanganyiko — usikate tamaa. Mfikie na uache ulimwengu ufanye kazi kupitia yeye ili kubadilisha hadithi yako, kama vile alivyobadilisha yangu.

Wasiliana naye kwenye WhatsApp: +2349046229159
Barua pepe: dawnacuna314@gmail.co