Saturday, December 27, 2008

Zawadi ni chachu ya penzi


Nani alikuambia kuwa mtu ukimpa zawadi ya pipi utakuwa humpendi? nani alikuambia zawadi zenye thamani ndizo zinaonyesha ishara ya pendo?


Karlosia Hukou mwanasaikolojia wa nchini Korea aliwahi kuandika katika kitabu chake cha "Gift is Gift" mwaka 2006. Ambapo katika kutabu hicho alielezea kuhusu umuhimu wa zawadi kwa wapendanao.


Hukou alibainisha kuwa zawadi ni ishara ya upendo haijalishi zawadi ya thamani gani?, alieleza kuwa hata mpenzi wako ukimununulia nguo ya ndani kama anakupenda atazidi kukupenda zaidi.


Naye Sarah James wa Marekani aliwahi kubainisha katika tafiti (research) yake aliyoifa mwaka 2008 katika chuo cha Havard, alifafanua kuwa iwapo mpenzi wako utakuwa unamfanyia saplaisi ya kumnunulia zawadi ndogo ndogo kama pipi na kumpa huku ukimwambia "Mpenzi wangu pokea hii zawadi nimenunua kwa ajili yako dear" jambo kama hilo alisema linadumisha penzi.


Je, wewe unamununulia zawadi za aina gani mpenzi wago?

1 comment:

Anonymous said...

🌹 Ushuhuda Wangu Kuhusu Dkt. Dawn – Mtu Aliyerejesha Nyumba Yangu na Furaha Yangu

Nataka kushiriki ushuhuda wangu wa dhati kuhusu jinsi Dkt. Dawn alivyobadilisha maisha yangu kabisa.

Kwa karibu mwaka mmoja, mume wangu aliniacha mimi na watoto wetu wawili. Aliacha kujali, akaacha kupiga simu, na alikuwa ameenda kabisa. Nilikuwa nimevunjika moyo, nimechanganyikiwa, na karibu kupoteza tumaini. Kisha siku moja, rafiki aliniambia kuhusu Dkt. Dawn, mtu wa kiroho aliyepewa kipawa na ulimwengu kuwasaidia watu kurejesha upendo na amani.

Mwanzoni, nilikuwa na shaka, lakini kitu kuhusu maneno yake kilinipa amani. Aliniambia haswa kilichokuwa kibaya na kwamba mtu alikuwa ametupa uchawi mkali kututenganisha. Aliandaa kazi maalum ya kiroho na uchawi wa kuungana tena kwangu — na ndani ya siku chache, mume wangu alinipigia simu ghafla, akilia na kuomba msamaha.

Tangu wakati huo, maisha yangu hayajawahi kuwa sawa. Ndoa yetu sasa ni tamu na yenye furaha zaidi duniani. Tunapendana zaidi kuliko hapo awali, na nyumba yetu imejaa vicheko na baraka.

Lakini si hayo tu — Dkt. Dawn pia alisaidia kuondoa bahati mbaya na nishati hasi iliyokuwa ikizunguka familia yetu. Tangu wakati huo, kila kitu kimekuwa laini: amani nyumbani kwetu, maendeleo ya kifedha, afya njema, na furaha safi.

Ninashukuru ulimwengu kila siku kwa kuniongoza kwa Dkt. Dawn. Kwa kweli ni mtu mwenye nguvu na mwanga wa kimungu. Ikiwa unapitia hali yoyote — huzuni, bahati mbaya, au mkanganyiko — usikate tamaa. Mfikie na uache ulimwengu ufanye kazi kupitia yeye ili kubadilisha hadithi yako, kama vile alivyobadilisha yangu.

Wasiliana naye kwenye WhatsApp: +2349046229159
Barua pepe: dawnacuna314@gmail.co