Tuesday, April 26, 2011
WANABLOGU NAWATAKIA PASAKA NJEMA
WAPENDWA katika bwana nawatakia pasaka njema. Mimi imenikumbusha mwaka 2005 nilipoamua kuokoka na kumurudia Mungu wangu kwa nguvu zote. Ndugu zangu nakumbuka ilikuwa mwezi wa tatu mwaka wa 2005 nikiwa pale Morogoro nilipata ubatizo na kuanza kujiandaa na pasaka ila ninachokikumbuka zaidi wakati nikibatizswa na Mch Peter Denis ni pale aliponishika kichwani na kuanza kuniombea nikiwa katikati ya maji ghafra nilipatwa na nguvu furani nikajikuta nalia kwa nguvu watu wote walishutuka ila mchungaji alinifariji na kunitaka nimshukuru Mungu.
Mch Peter Denis baada ya kunifariji alinishika kichwani na kunizamisha majini nilipotoka majini nikajisikia nimezaliwa upya machozi ambayo nilikuwa nalia yakakauka na muchugaji akaniambia kwa maneno ya upendo "Asante Mwanangu Hakika Umebarikiwa" Kwakweli namkumbuka sana mchungaji wangu na Mungu amubariki sana katika kazi yake ya utumishi. Japo kwa sasa niko Da,r ila Mchungaji Peter Denis sitamsahau kwani alifungua ukurasa mpya wa maisha yangu.
Kwahiyo ndugu zangu yatupasa kumshukuru Mungu kwa kila jambo hasa katika siku hizi za sikuku za Yesu Kristo. Mungu awabariki sana wanablogu, na pia awape nguvu kwa kazi zenu, maoni yenu juu yangu yatabarikiwa pia. Ameni.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


8 comments:
Mwendelezo wa pasaka njema uwe nawe pia...Mungu ni muweza
Asante kwa maoni mazuri ubarikiwe
Kwako pia Mkuu Pasaka njema!
asante mkuu simon nafurahi kuona tuko pamoja
Duh! umepotea kwelikweli? upo mzima/salama?
Karibu tena mkuu
🌹 Ushuhuda Wangu Kuhusu Dkt. Dawn – Mtu Aliyerejesha Nyumba Yangu na Furaha Yangu
Nataka kushiriki ushuhuda wangu wa dhati kuhusu jinsi Dkt. Dawn alivyobadilisha maisha yangu kabisa.
Kwa karibu mwaka mmoja, mume wangu aliniacha mimi na watoto wetu wawili. Aliacha kujali, akaacha kupiga simu, na alikuwa ameenda kabisa. Nilikuwa nimevunjika moyo, nimechanganyikiwa, na karibu kupoteza tumaini. Kisha siku moja, rafiki aliniambia kuhusu Dkt. Dawn, mtu wa kiroho aliyepewa kipawa na ulimwengu kuwasaidia watu kurejesha upendo na amani.
Mwanzoni, nilikuwa na shaka, lakini kitu kuhusu maneno yake kilinipa amani. Aliniambia haswa kilichokuwa kibaya na kwamba mtu alikuwa ametupa uchawi mkali kututenganisha. Aliandaa kazi maalum ya kiroho na uchawi wa kuungana tena kwangu — na ndani ya siku chache, mume wangu alinipigia simu ghafla, akilia na kuomba msamaha.
Tangu wakati huo, maisha yangu hayajawahi kuwa sawa. Ndoa yetu sasa ni tamu na yenye furaha zaidi duniani. Tunapendana zaidi kuliko hapo awali, na nyumba yetu imejaa vicheko na baraka.
Lakini si hayo tu — Dkt. Dawn pia alisaidia kuondoa bahati mbaya na nishati hasi iliyokuwa ikizunguka familia yetu. Tangu wakati huo, kila kitu kimekuwa laini: amani nyumbani kwetu, maendeleo ya kifedha, afya njema, na furaha safi.
Ninashukuru ulimwengu kila siku kwa kuniongoza kwa Dkt. Dawn. Kwa kweli ni mtu mwenye nguvu na mwanga wa kimungu. Ikiwa unapitia hali yoyote — huzuni, bahati mbaya, au mkanganyiko — usikate tamaa. Mfikie na uache ulimwengu ufanye kazi kupitia yeye ili kubadilisha hadithi yako, kama vile alivyobadilisha yangu.
Wasiliana naye kwenye WhatsApp: +2349046229159
Barua pepe: dawnacuna314@gmail.co
Ushuhuda
Nilivunjika moyo kabisa uhusiano wangu ulipoisha. Niliamini kweli kwamba nilikuwa nimepoteza mpenzi wa maisha yangu milele. Kisha nikampata Dkt. Dawn, na kila kitu kikabadilika.
Kwa wema, hekima, na mwongozo wenye nguvu, alirudisha upendo niliodhani ulikuwa umetoweka. Leo, tuna furaha zaidi kuliko hapo awali!
Dkt. Dawn aligeuza machozi yangu kuwa furaha kweli.
Dkt. Dawn Anaweza Kukusaidia Kwa:
✅ Uchawi wa Mapenzi
✅ Uchawi wa Mimba
✅ Kurejesha Ndoa / Uhusiano
✅ Tiba za Mimea kwa VVU, Ugonjwa wa Figo, Matatizo ya Moyo, Maambukizi, na zaidi
📧 Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com
📞 Simu/WhatsApp: +2349046229159
Usiteseke kimya kimya. Dkt. Dawn anaweza kurudisha furaha maishani mwako!
Post a Comment