Saturday, January 3, 2009

Nilimpenda kwa sababu....?

KATIKA kumpenda mtu huwa kunachangiwa na vitu vingi sana kwa sababu binadamu tunatofautiana kifikra, kimaumbile, kimutazamo, kiuelewa, kihisia n.k. ambayo yote haya katika mapenzi huchangia mwamsho (feelings) wa mwili.

Kutokana vitu vyote hivyo binadamu anaweza kumpenda mtu mweusi, mweupa, mfupi, mwembamba, mnene nk.


Kuna watu wanapenda kuwa na wapenzi wembamba yaani watu hawa wakiona mwanamke/mwanaume mwembamba huwa wanapata hisia kubwa sana ya kumpenda na kutamani kufanya nae mapenzi ili walidhike kuwa wamehondomola kifaa ambacho wanakipenda sana.
Wengine wakiwaona mtu mnene hupata mwamsho wa kutaka kumuhondomola ili kulidhika kuwa wamefanya na mtu ambaye ni mzuri. Si mapenzi hata kuoa kunatokana na sababu hizo za kupata hisia ya yule umpendae hasa kukuvutia kwa jinsi alivyo.
Mwanasaikolojia na Mchungaji, Hoven Michal wa chuo kikuu cha Wheaton School of Thelogy katika jimbo la texas nchini Marekani alibainisha katika utafiti wake juu ya hisia kwa binadamu aliuandikia kitabu ambacho alikiita kwa jina la "Feeligs & Love" ya kwamba matendo ya mahaba kwa binadamu yanatawaliwa na hisia hasa kwa yule anayekuvuti.

Naye Fredy Hasin wa Dar es Salaam aliwahi kusimulia kuwa alimpenda sana mama Suzy (mke wake) na alikuwa anamhondomola vizuri sana wakati wa chakula cha usiku lakini alikuja kumchukia kutokana na kunenepa ghafra jambo ambalo alikuwa halitaki katika maisha yake.

Pia Maganga Magembe ambaye ni askali polisi wa kituo kidogo cha Nyakato aliwahi kuahadithia kuwa yeye anapenda wanawake wanene kwa sababu huwa anapata nafasi nzuri ya kufaidi tunda tamu wakati wa chakula cha usiku, jambo ambalo linampelekea kujiona fahari katika dunia ya maopenzi.

Sayuni Mahina alipohojiwa na Mwandishi Huria wa blogu hii alidhibitisha kuwa yeye mme wake ni Mwembamba na anapenda wanaume wa aina hiyo kwa sababu huwa wanamhondomola vizuri sana na kumfanya ajisikie utamu hadi kwenye kichwa. "Utamu huu ambao huwa naupata sijawahi kuupata sijui Mungu aliutoa wapi?" alihoji mama huyo.

Je, Mpenzi wa blogu hii wewe unapenda wako penzi wa aina gani? Sasa tujadiliane mada hii niliwahi kudika kipindi cha nyuma.