Sunday, December 28, 2008

Utamu wa mapenzi unafanana na nini?

BILA shaka msomaji wa blogu hii unampenda sana wako kipenzi na yawezekana unafanya kama huyo hapo kwenye picha anavyofanya kuonyesha kuwa mnapendana sana, na ikifika wakati wa chakula cha usiku unabonyeza/ unabonyezwa vizuri tu na unasugua kwa uraini huku utamu wa mpenzi wako unausikia vizuri.

Ebu fikiria iwapo inatokea siku moja, mpenzi wako akakusaliti na kwenda kumpa chakula cha usiku mtu mweingine utajisikiaje? au itokee siku mpenzi wako akaamua kukuacha na kwenda kuolewa na mtu mwingine.

Fikria maumivu utayoyapata ni ya aina gani? Hakika penzi ni tamu kwelikweli hasa kwa yule anayempenda kwa moyo wote. Sasa tujadiliane unasemaje?

Penzi linahitaji uvumilivu


WAKATI mwingine huwa unajisikia kumchoka mpenzi wako, kuchukua jukumu la kumuacha wako mpenzi, kumkaripia wako mpenzi, kumuona kama anakasoro fulani hivi, kumuona hakufai au hafai kuishi na wewe ikiwa pamoja na kutamani kuoa au kutafuta mwingine mpenzi.


Yote haya mambo huwa yanatokea kwa binadamu wa jinsia zote. Sasa nakuuliza kwanini unafikia hatua ya kufanya mambo kama hayo? Kama kweli uliamua kumpenda mpenzi wako ya nini tena kumchukia na kumuona hakufai?


Watalaam wa masuala ya mapenzi wanabainisha kuwa kumchukia mpenzi kunasababishwa na vitu vingi sana, ambapo mwanasaikolojia na mtaalam wa masuala ya love Haliet Julliu alifafanua katika kitabu chake cha "Bad Love - 2008" kuwa jambo la kwanza ambalo linamfanya mpenzi wako kukuchukia ni:


i)Uchufu wa mwili wako pia unapokuwa mchafu ndio unaongeza hatari ya kuchukiwa na mpenzi wako.


ii)Uchafu wa nyumba au chumba ambacho unakaa na mpenzi wako hasa hili linawahusu mwanawake, jambo hili huwa linawakera wanaume.


iii) Kupata mpenzi nje ya ndoa pia kunachakia mpenzi wako kukuchoka na kukuona hufai kisa kapata wa kumhodomola hasa akimpata anayejua mapenzi.


iv) Wewe mwenyewe kuwa mkali pindi unapomuona mpenzi wako nako kunachangia kumfanya atafute mwingine ambaye ni mpole ili apate kuliwazika zaidi kimahaba na,


v) Kuwa na wasiwasi wa kusalitiwa na mpenzi wako jambo ambalo huwa linazua mitafaruku kwa wapenzi na kusababisha kuchukizana na pengine kupelekea kuachana kabisa.


Kwahiyo nawashauri sana ndugu zangu mjitahidi kuepuka mambo kama haya ili kudumisha penzi zaidi.Sasa tujadiliane kuhusu suala hili na pia napenda kuuliza Je, penzi ni nini?






Saturday, December 27, 2008

Mavazi ni mojwapo ya kuvutia penzi


Ndugu ili upendwe unatakiwa kuwa mbunifu wa mavazi yako, uanatakiwa kutambua mavazi ambayo yanamfurahisha mpenzi wako, jambo hilo linatia hamasa ya mpenzi wako kuvuta hisia hata kama anakuhondomola, akikumbuka unavyovaa nguo zako na kukufiti anapata hamasa zaidi ya kukushughulikia ipasavyo.
Katika tafiti mbalimbali za wataalamu wa mapenzi wanafafanua kuwa binadamu akiwa anafanya mapenzi huwa fikra zake zinatawaliwa na kumfikiria mpenzi wake. Jambo hili humpelekea kupata hisia kali za kumkubuka jinsi anavyomjari, anavyovaa, anavyojituma, anavyoongea, sauti yeke jinsi ilivyotamu yote haya huwa yanaingia katika fikra za wapendanao wakati wakiwa wanakulana au kuhondomolana jambo ambali pia huwafanya wanamaliza mapema, pia humusababisha mwanamke kutoa kilio cha utamu anaoupata kwenye fikra zake, na mwanaume anaweza kutoa milio pia ya kusikia utamu unazidi jinsi anavyohondomola na kupata hisia kali za mpenzi wake.

Tabasamu uhamasisha Ngono

Je, unapokuwa na mpenzi wako huwa unatabasamu? au unanuna kama unakamuliwa jibu? kumbuka kuwa kununa kunasababisha mpenzi wako akuchoke mapema zaidi au kukuacha kabisa. Nakushauri kuanzia sasa hivi jitahidi sana kuwa unatabasamu kila wakati kwani binadamu tumeumbwa na upendo kwa kila mtu, japo kama utajua jinsi ya kumfanya mpenzi wako akupende. Katika dunia hii hakuna dawa ya mapenzi bali dawa ya mapenzi unayo wewe mwenyewe. Kuwa makini utaacha watafuatwa wanaojua kupenda na kuhondomola.

Kwanini penzi unanitesa kiasi hicho.

Penzi ni kipofu. Penzi linatesa sana. Kwanini penzi linatesa? Mtaalam wa masuala ya mapenzi Pinig Huing wa china alibainisha kuwa penzi ni tamu kuzidi kila kitu hapa duniani na kuongeza kueleza kuwa penzi pia linaumiza sana.


Hii ni kweli kabisa ndugu yangu yakupasa kuanzia sasa hivi utambue kuwa penzi ni tamu ukijua hilo ninaimani utamdhamini mpenzi wako na utampenda zaidi. Ili kuhakikisha unamjali mpenzi wako yakupasa uonyeshe upendo kila unapokuwa na mpenzi wako.


Katika dunia ya wapendanao unatakiwa kumjali dear wa moyo wako ili ajui kuwa unamjali jambo ambalo litawafanya muishi kwa furaha na raha za dunia kuziona. Hupaswi kuona kwa mwenzako jinsi anavyomjali dear wake halafu na wewe uanze kumjali mpenzi wako.


Katika vitu vya kuzingatia katika kumuonyesha mpenzi wako unamjali ni kumbusu kila wakati, kumkumbatia kila wakati, kumhondomola ipasavyo huku ukitumia kila staili za kuhondomola, hapo utakuwa umemjali mamsapu wako ipasavyo na jambo hilo hatakusahau kamwe atakuwa anakukumbuka hata kama ukiwa kazini.

Zawadi ni chachu ya penzi


Nani alikuambia kuwa mtu ukimpa zawadi ya pipi utakuwa humpendi? nani alikuambia zawadi zenye thamani ndizo zinaonyesha ishara ya pendo?


Karlosia Hukou mwanasaikolojia wa nchini Korea aliwahi kuandika katika kitabu chake cha "Gift is Gift" mwaka 2006. Ambapo katika kutabu hicho alielezea kuhusu umuhimu wa zawadi kwa wapendanao.


Hukou alibainisha kuwa zawadi ni ishara ya upendo haijalishi zawadi ya thamani gani?, alieleza kuwa hata mpenzi wako ukimununulia nguo ya ndani kama anakupenda atazidi kukupenda zaidi.


Naye Sarah James wa Marekani aliwahi kubainisha katika tafiti (research) yake aliyoifa mwaka 2008 katika chuo cha Havard, alifafanua kuwa iwapo mpenzi wako utakuwa unamfanyia saplaisi ya kumnunulia zawadi ndogo ndogo kama pipi na kumpa huku ukimwambia "Mpenzi wangu pokea hii zawadi nimenunua kwa ajili yako dear" jambo kama hilo alisema linadumisha penzi.


Je, wewe unamununulia zawadi za aina gani mpenzi wago?

Monday, December 15, 2008

Nguvu ya penzi tumepewa na Mungu


Huwa ninajiuliza hivi penzi ni kitu gani? penzi lilitoka wapi? kwanini ukipenda kuzidi kiasi unakuwa kama kipofu? kwanini penzi linawafanya watu kubadilika? Kwanini penzi linaua yaani mtu anaamua kujiua kisa kakataliwa na mpenzi wake? Au anaamua kumuua mtu aliyemchukulia mpenzi wake?


Yote haya ni nguvu ya penzi ambalo tulipewa na Mungu kwakweli penzi ni kitu kitamu sana tena sana!! hakuna kitu cha muhimu katika dunia hii kama penzi.


Binadamu hata kama munapendana kiasi gani ukimchukulia mpenzi wake urafiki unaisha na munakosana kabisa ikiwezekana hata kufanyiana mambo mabaya. Hata baadhi ya wanyama ukiwakuta wanafanya mapenzi huwa wakali wanaweza kukurarua ukiwasogelea wakizani utawanyang'anya wapenzi wao.


Jamani penzi ni kitu gani? Kwanini penzi linakuwa hivyo?

Mwanaume anachelewa kurudi nyumbani


"Najitahidi sana kumshauru mme wangu Leonard ili awe anawahi kurudi ili nimufaidi mme wangu lakini hataki kutekeleza ushauri wangu sasa ngoja kuna siku nitaenda kumchongea kwa bosi wake ili afukuzwe kazi nifaidi penzi lake kwa kuwa naye masaa yote" alisema dada mmoja ambaye anafahamika kwa jina la Mariam Sabaganga mkazi wa Mwanza.


Pengine wa wewe unamawazo kama hayo kutokana na mme wako kutingwa na kazi nyingi na hatimaye kushindwa kuwa anawahi kurudi nyumbani mapema. Nakuomba usiwe na wivu kiasi hicho kwani kazi ya mme wako ndiyo inawafanya kuishi au kujiongezea kipato nyumbani kwenu.


"Ninajuta sana kutokana na watoto wetu kushindwa kusoma kutokana na mme wangu kufukuzwa kazi baada ya kumchongea kwa bosi wake kuwa anatabia ya kumuibia bosi pesa za kampuni yake na kuleta nyumbani na zingine kuweka benki" alisema mama Aisha mkazi wa Area "D" mjini Dodoma baada ya kujuta kutokana na kumsababishia mme wake kufukuzwa kazi kwa wivu wa mapenzi.


Aliendelea kusema kuwa "Kama ningejua kama tutateseka kiasi hiki, yaani tunalala njaa huku watoto hawaendi shule, kwakweli inaniuma sana na ninamuomba Mungu atusaidie angalau tupate pesa za kuwasomesha Aisha, Ben na Hamis!"alisikitika mama huyo.


Sasa je, na wewe unawivu wa kiasi hicho? Toa maoni yako ili kusaidia kufanikisha kwa utafiti ambao unafanya na shirika la Tanzania Women Reseach.

Kazi ya uandishi wa habari

NINAPOSEMA Mwandishi wa habari kwa maana nyingine ninamaanisha Mtangazaji, Sasa ndugu zangu wasomaji wa blogu yenu ya saikolojia tunaambiwa ya kwamba mtu ambaye anafanya kazi ya kutangaza anatakiwa kuwa makini sana katika kazi hiyo, akiendana na kuwa mbunifu wa jambo kila siku.

Sasa basi kuhusiana na jambo la mapenzi Mtanzaji wakati ukiwa ndani ya studio unatangaza kipindi chochote unatakiwa kuondoa fikra za migongano au mikasa ya mapenzi iliyokupata aidha kutoka kwa mpenzi wake au sehemu nyingine.

Mtaalam wa Masuala ya mapenzi ambapo pia ni Mtangazaji wa Classic Fm Evas Chris aliwahi kufanya utafiti na kukundua kuwa asilimia 96 ya watangazaji wanaopata misukosuko kutoka kwa wapenzi wao mara nyingi wanafanya vibaya katika vipindi kutokana na kufikiria misukosuko ya wapenzi wao.

Chris katika tafiti yake hiyo ambayo aliita kwa jina "Good Presenter Research" alibaini kuwa wanandoa wengi ambao walikuwa katika hali ya kukosana na wapenzi wao walifanya vibaya katika media.


"Nilimshauri Denis Jakky kila mara aachane na mke wake kutokana na mke huyo kumfanya amfikirie yeye hata wakati ikiwa anatangaza kitendo ambacho kilimfanya kushindwa kutangaza vizuri" alisema Jeff Jeakim Mtangazaji wa Mercy Fm iliyoko Texas USA.

Tabasamu ni nguvu ya penzi

IMEELEZWA kwamba mtu ambaye anatabasamu kila wakati huwa anaonekana mzuri na mtanashati kuzidi mtu ambaye saa zote yeye ni kununa tu. Wataalam mbalimbali wa masuala ya saikolojia wamefanya tafiti juu ya jambo hili na kubaini vitu kama hivyo.Wataalam kutoka Chuo Kikii cha Haverd nchini USA, walifanya utafiti na kubaini mtu ambaye ananuna kila wakati huwa anazeeka mapema na huonekana mbaya wa sura kutoka na sura yake kuzoea kujikunja.

Ikiwa naye Mtaalam wa Saikolojia ya Mapenzi Richard Athony wa Uingereza katika utafiti wake anasema "Wanawake wanaochukia ndoa zao wengi wanaoneka kama wazee kutokana na kutokuwa na raha Wanawake wanatakiwa kuzifurahia ndoa zao ili kuepuka kuzeeka mapema" alisema Mtafiti huyo na kuongeza kuwa: "Uzee huo unatokana na kukoswa raha kila wakati jambo ambalo linawasababisha kutokujijari ikiwemo kuoga vizuri na kujipodoa" Je wewe mfuatiliaji wa blogu yako ya saikolojia umefanya utafiti juu ya suala hili na umegundua kitu gani? Changia maoni yako.

Wednesday, December 10, 2008

Penzi la Kweli


Penzi la kweli ni lile la kuaminiana na kujaliana kwa kila jambo. Penzi la kweli halipimwi na utajiri. Penzi la kweli halipimwi na vigezo. Penzi la kweli halina mfupi na mrefu. Penzi la kweli halina Muzungu na Mwafrika. Bali penzi la kweli ni kupendana kutoka rohoni.

Ukiwa beach


Japo kama umetoka na mpenzi wako mkaenda ufukweni kupungwa upepo huku mukiinjoi maisha ya huko cha msingi hakikisheni munafanya mamboyenu bila kuogopana ili mkitoka pale kila mmoja amelizika na huduma ya mwenzake. Munatakiwa kkubebana na kubusiana kila mmoja na malov dav mengine.


Mtaalam mmoja wa mapenzi aliwahi kusema "kubadilisha mazingira kwa wapendanao husababisha upendo kuongeza" pia aliongeza kuwa "jambo hilo linasababisha kudumisha penzi na kuaminiana katika penzi"

Tuesday, December 9, 2008

wanawake wenye hips pana


Mtaalam wa saikolojia Prisca Janny alibainisha kuwa wanawake wenye hips kubwa ni wepesi sana wa kupata mimba tofauti na wanawake wenye hips nyembamba (milonjo) alielezea katika kitabu chake cha "Hips love" cha mwaka 2008 kuwa wanawake hao wenye hips kubwa wakilala na wanaume huwa ni rahisi sana kunaswa na mimba.


Pia nchini Uholazi Mtafiti wa masuala ya kizazi Christopher Bincom aliandika katika kitabu chake cha "Birth and Risk" cha mwaka 2004 kuwa wanawake wenye hips pana wanaweza kupata mima kwa haraka zaidi. Pia alifafanua kuwa wengi wa wanawake hao huwa wanazaa watoto wa jinsia ya kike kutokana na kuwa wengi wanawahi sana kufikia kilele ambapo wanasababisha maji mengi kujaa kwenye sehemu ya chakua cha usiku kwahiyo maji hayo yanasababisha mbegu za kiume Y kushindwa kupenya mpaka kwenye yai.


Alibainisha kuwa mbe za Kike X huwa zinaweza kuogerea kwenye maji mengi zaidi ya mbegu za kiume hiyo ndio maana zinapenya haraka mpaka kwenye yai kuliko mbegu za kiume Y.



Pozi linadumisha penzi

Ndugu yangu kumbuka kuwa pozi lako nalo ni chachu ya kudumisha penzi unatakiwa kukaa katika mapozi ya mvuto kwa mpenzi wako. Katika tafiti mbalimbali ikiwemo ya Mary Jackson zinabainisha kuwa wanawake wenye mapozi mengi wanapendwa na wanaume wengi zaidi ya wale ambao hawajui mapozi.

Naye Horaw Pierre wa ufarasa alifanya utafiti katika jiji la maraha kuzidi majiji yote duniani "Paris" na kubaini kuwa wanawake wengi wenye mapozi wanapendwa sana na wanaume lakini wengi wa wanawake hao wanaolewa lakini ni wepesi sana wa kuachika kutokana na fikra zao za kujihisi kuwa wao ni wazuri na kufanya kiburi kwa waume zao. Pia naye Ching Annig wa china alibainisha katika utafiti wake kuwa lisha ya kupedwa na wanaume wengi pia wanawake hao wenye mapozi ni wataalam sana wa kula chakula cha usiku kuliko wale ambao hawana mapozi.


Je wewe mfuatiliaji wa mblogu hii unasemaje juu ya suala hili ni kweli wanawake wenye mapozi wanapendwa na wanume zaidi ya wale ambao hawana mapozi?

Penzi halina Mzee


Nani alikuambia kuwa mzee hapendwi na vijana? nani alikuambia kuwa mzee hajui kuhondomola? nani alikuambia kuwa mzee hajui kuonyesha penzi la kweli? Katika dunia hii penzi ni kitu kizuri sana.


Kuna watu wengine wanasema mimi siwezi kuolewa na mzeee? na wengine mimi siwezi kuoa mtu ambaye ananizidi umri yote hayo ya nini? kwani penzi linazeeka? Penzi daima si la mzee wala kijana peke yake bali penzi ni la wote.


Kuna rafiki yangu mmoja wa kiume anahela za kawaida tu, na ana gari moja alinunuliwa na mpenzi wake, huyo rafiki yangu aliwahi kuniambia yeye habagui cha mwanamke mzee au msichana anachojali ni yule ambaye ana hela tu. Nilishanga sana nikajua rafiki yangu hana penzi la kweli kwa wanawake.


Ndugu kitu cha msingi ambacho ninataka nikueleze ni kwamba kama wewe umetokea kumpenda mtu ambaye ni mkubwa kuzidi wewe usimuache kwa kisingizio cha ukubwa bali uangaliwe penzi la kweli kama unampenda na yeye pia anakupenda basi yawapasa muoane na penzi lenu litadumu kwa sababu mnapendo la rohoni.

Usingizi wa Penzi la Kweli hudumiaha penzi.


Mpenzi mfuatiliaji wa blogu yako ya saikolojia kumbuka kuwa penzi ni gharama ni lazima uligharamie ili uweze kulifaidi vizuri. Kwahiyo kumbuka kuwa hata wakati mlalapo na mpezi wako unatakiwa kuonyesha kuwa unampenda zaidi katika dunia hii, kwahiyo unatakiwa kumjali wako mahabuba wakati wote kuanzia chakula cha usiku mpaka wakati mmelala.


Katika kumjali hivyo unatakiwa kumkumbatia mpenzi wako pindi munampomaliza kula chakula cha usiku na kumuuliza "umeridhika na chakula nilichokupa?" Kama atajibu ndio, basi mkumbatie ili mlale vizuri mpaka asubuhi usidiliki kumuacha , kwani wataalam wa mambo ya ma lov dav wanabainisha kuwa joto lampenzi wako akiamuka asubuhi hata kamaataenda kazini lazima atakuwa analihisi katika mwili wake na hiyo ndio itamusababisha akupende zaidi.

Lips za mdomo zinavuti kufanya mapenzi

Wataalam wa masuala ya mapenzi wanabainisha kuwa lips za mdomo zinahamasisha mapenzi, hii ni kutokana na tafiti mbalimbali za wanasaikolojia juu ya suala hilo. Mwanasaikolojia Leonard Charles wa Urusi katika tafiti yake aliyoifanya mwaka 1883 aligundua kuwa wanawake wenye lips kubwa wanahamasisha chakula cha usiku tofauti na wanawake wenye lips ndogo.

Mnamo mwaka 2007 naye Mwanasaikolojia Joseph Havas alibainisha ya kwamba wanawake wenye lips kubwa wanahamasisha mwanaume kuamua kumpiga denda mwanake huyo ambapo pia naye Suzzy katika utafiti wake juu ya suala hilo aliwafanya wake utafiti katika jimbo la Texas alibainisha kuwa wanawake wenye lips kubwa wanapendwa na wanaume zaidi ya wanawake wenye lips ndogo.


Mpenzi mfuatiliaji wa blogu hii je, wewe unapenda mwanamke wa aina gani kati ya hao? niandikee maoni ili kuweza kufanikisha utafiti ninaoufanya mimi hapa tanzania.

Sunday, November 23, 2008

Wanawake wembamba watalamu wa chakula cha usiku

Imebainishwa kuwa wanawake wengi wembamba ni watalamu wa mapenzi kuzidi wanawake wanene, hii inatokana na tafiti mbalimbali zilizofanya na watalamu wa masuala ya mapenzi kama wakina Leticia Jackson wa US, Prof. Benjamin James wa Ufaransa, Dr. Edward Huloww wa Uingereza, hawa watalamu katika tafiti zao walizofanya katika nchi mbalimbali zinaonyesha kuwa asilimia 85 ya wanawake wembamba wanajua staili nyingi za kuhondomolana wakati wa chakula cha usiku, na asilimia 15 ya wanawake wanene ndio wanaojua kula vizuri chakula cha usiku. Je wewe unasemaje kama umefanya tafiti zako niandikie utoe maoni yako.

Kuvaa Tai


Wanaume wanaovaa tai inabainishwa kuwa wengi wa wanaume hao ni watu walio na nidhamu kubwa na wanajiheshimu kwa kiasi fulani japo kuwa wapo wanaume wengine ambao wanavaa tai lakini hawajiheshimu. Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali zilizofanya na wataalamu wa saikolojia duniani, zinaonyesha kuwa zaidi ya asilimia 80% ya wanaume wanaovaa tai ni wale walio na nidahumu ya hali ya juu na asilimia 20% tu ya wanaume ambao hawavai tai yaani wanavaa nguo mbalimbali yakiwemo mavazi kama jinsi, tisheti nk, ndio wale ambao hawana nidhamu.

Macho yanahamasisha Penzi


Kumbuka ya kweamba macho ni kiungo kizuri sana kwani kazi yake ni muhimu katika binadamu ambapo hasa tunayatumia katika kitendo cha kuona, ila kuna siri kubwa kama huijui leo hii mimi nakuambia ili uanze kuitumia sasa hivi.


Seri hiyo ni kwamba macho pia yanaweza kuhamasisha mapenzi au kumvutia mtu kutaka kufanya mapenzi na wewe, ukiyatumia vizuri hakika utaona mabadiliko kati yako na mpenzi wako. Tafadhali anza sasa hivi kuyatumia macho yako vizuri ili kumvutia mpenzi wako.

Kumbuka kuwa nywere zinaweza kuhamasisha mapenzi.


Ndugu mada hii inakusa wanawake, napenda kuwaambia ya kwamba kulingana na tafiti zilizofanya na wanazuoni mbalimbali akiwemo wakongwe wa masuala ya mapenzi kama wakina Dr. Leonard Mashindano, James Ngoye, Zuzzy Gurter na wengine. Tafiti hizo zinaonyesha kuwa nywere kwa mwanamke ni mhimu sana kwani ni mojawapo ya kivutio kikuu katika suala zima la malove dav hasa mwanaume wengi wanavutiwa sana na mwanamke ambaye anaseti nywere zake kwa staili nzuri.


Sasa hapo kazi kwako mpenzi mfuatiliaji wa blogu hii kumbuka kuwa kuaanzia sasa jitahidi kuseti mwere zako hata kama huna hela za kwenda salon siku hizi mitaani kuna salon nyingi tu za bei poa nenda katika hizo salon seti nyere zako hakika kama unampenzi utaona mabadiliko atakuwa anakupenda zaidi ya mwanzo kwani wanaume tunahusudu sana nywere.

Kunenepeana sana


Siku moja nilkuwa chuo na rafiki yangu wa kike beatrece tulikuwa tumekaa kwenya sehemu ya kupumuzikia baadaye akapita Mwanaume mmoja karibu na sisi shutukia rafiki yangu ananiambia "ebu! muangalie yule baba, yaani mimi sipendi kuolewa na wanaume wanene walio na kitambi" nami sikumuuliza kwa nini hapendi.


Ila nikaamua kufanya utafiti (reseach) juu ya jambo hilo mwishoni wa utafiti wangu kulikuwa ni asilimia 91% ya wanawake niliowafanyia utafiti walisema hawapendi kufanya mapenzi na wanaume wanene au kuolewa na wanaume hao, na asilimia 9% tu ya wanawake waliopenda kufanya mapenzi na wanaume wanene au kuolewa nao.


Baadaye tena niakaumua kuwafanyia utafiti wannaume ambao wanapenda wanawake wanene nikapata asilimia 62% ya wanaume walidai wanapenda wanawake wanene na asilimia 48% walidai wanapenda wanawake wembamba yaani model.


Ndugu mfuatiliaji wa blogu hii wewe uko upande gani ponyeza kwenye neno toa maoni halafu niandikie wewe unapenda wanawake/wanaume wa aina gani? kumbuka maoni yako ni mchango mkubwa sana katika kuendeleza utafiti huu. Asante.

Uso ni kivutio cha kila mtu


Ndugu zangu hasa wale wanaohusudu mapenzi kumbukeni ya kwamba uso wako ndio kivutio cha kwanza cha mpenzi wako, wataalamu wa mapenzi wanatuambia kuwa binadamu waliowengi huchagua wapenzi kwa kuangalia uso wake.


Hii ni dhahili kabisa kuwa kila mtu anapotaka kuwa na mpenzi wake cha kwanza kumvutia ni uso wake, harafu umbo la mwili linafuata. Sadiki ya kwamba umukute mwanamke au mwanaume ambaye uso wake umeharibika ila anaumbo zuri tu, halafu niambie kata wewe unatafuta mchumba utafanya nini?


Kwa kila mtu nina maana ya mwanaume na mwanamke wote mnatakiwa kujipamba kila wakati na kuvaa nguo zinazovutia kwa kila wakati, wengi wa wanaume hawapendi kutumia vipodozi iti wanadai kuwa vipodozi ni za wanawake! ahaa! nani kakuambia hivyo acha mambo ya kizamani wewe mwanaume podoa mwili wako ili uwe na mvuto kwakila mtu.

Kusononeka sana


Ndugu msomaji na mfuatiliaji wa blogu yako ya saikolojia wataalamu wa saikolojia wanatuhabarisha kuwa binadamu anapokuwa na hudhuni sana anaweza kuwa na hatari ya kupata magonjwa mbalimbali ikiwemo kisukari, moyo, kutokwenda haja kubwa, kupunguza nguvu za mapenzi, kupungua uzito wa mwili, kuumwa kichwa sana, kupoteza mwelekeo katika mipango yako ya kiakili nk.


Kwahiyo ndugu unatakiwa kujitahidi kufurahia maisha yako kila wakati na unapojaribu kuufanya mwili wako kufurahi, lakini hautaki watalaamu wanakushauri kuwa fanya mazoezi au jichanganye na watu mbalimbali katika maongezi hudhulia ibada za dini na mikutano mbalimbali ya injili hapo utaona mabadiliko ndugu yangu.


Wataalamu wanakuambia hivi usisononeke sana hata kama umeachwa na mpenzi wako, au wewe ni masikini, huna uwezo darasani, sauti yako unapoongea ni mbaya, unapofanya kazi uliyoisomea unakosea, au unapokumbana na mikasambalimbali ya maisha just toa hiyo huzuni moyoni mwako na kuanza kufurahia maisha hata kama ni mabaya ukifanya hivi utazoea na utaona kama kawaida. "Mungu akubariki sana"

Wednesday, November 5, 2008

Furaha ya Harusi


Binadamu ameumbwa na elementi chocgezi za kureta furaha, huzuni, hasira, kucheka, kuchukia n.k, lakini binadamu tuliowengi tukiwa tunafunga ndoa huwa tunajawa na fura kubwa sana, lakini baada ya kuanza kuishi na mke au mme furaha inapotea kunazuka kuchukiana na ugonviwakati mwingine.


Hii ni hatari kweli ndugu mpenzi msomaji wa blogu yako hii! ila kwa ushauri wangu nakuomba hata kama umeikia katika maisha ya kuishi na wako kipenzi nakuomba usimuchoke kwani kumuchoka ndiyo chanzocha ugonvi, kununiana, hasira nk.


Machozi ya Penzi


Watu wengi hutoa machozi pale wanapoachwa na wapenzi wao, Mpenzi msomaji wa blogu yako uipendayo ya saikolojia leo nitakueleza kuhusiana na chozi la penzi: Unajua wataalamu wa mambo ya mapenzi wanasema kuwa Mwanamke ni mwepesi sana kutoa machozi pindi anapoachwa na mpenzi wake hii inatokana na mwanamke kuubwa na moyo wa kuwa na penzi la rohoni.


Wataalamu wa mambo ya mahaba wanasema kuwa wanawake wameumbwa kwa penzi la rohoni yaani la ndani tofauti na wanaume, hii ndiyo inasababisha mwanake akiachwa na mpenzi wake hujisikia vibaya na kujiona kama hafai kabisa kwa mwanaume yoyote kitendo ambacho kinamfnya anatoa machozi kwa wingi.


Mwanaume kaumbwa kwa penzi la fikra kama wanavyotufahamisha wataalamu wa mapenzi hii ndiyo maana wanaume wengi ni vigumu sana kulia pale wanapoachwa na wapenzi wao japo wapo wanaolia lakini sio wengi japokuwa huwa wanaumia sana rohoni lakini kutokana na elementi walizoumbwa nazo inakuwa vigumu kutoa machozi. "Nakusihi uendelee kuburudika zaidi na blogu yakousisahau kutoa maoni"

Monday, November 3, 2008

Usafi hudumisha Penzi


Ndugu unayefuatilia blogu yangu ya kuelimisha zaidi napenda kukuambia kuwa usafi wa nguo za ndani ni muhimu katika maisha yako ili kudumisha penzi zaidi jitahidi kuwa msafi wa nguo za ndani kwani wanawake wengi wanapenda Mwanaume msafi vilevile Wanaume wengi wanapenda sana wanawake wasafi na wananukia nanukato mazuri.

Kama ulikuwa unajisahau kufua labda chupi, na nguo zingine za ndani jitahidi sana kuwa unafua ili ziwe safi kabia, ukiwa unafanya hivyo nakuhakikishia asilimia mia utakuwa umemuteka mpenzi wako yaani mpaka watu watasema labda umemupa dawa za mapenzi kumbe hakuna isipokuwa tu unajua jinsi ya kumuhendo.


Wanawake na baadhi ya wanaume huwa wanajisahau kufua nguo zao mpakazinakuwa zinatoa harufu kumbuka kuwa hiyo ni kero kwa mpenzi wako, nguo inapotoa harufu husababisha mahaba kupungua kiasi fulani kwa hiyo kuanzia sasa zingatia usafi wa nguo zako za ndani.

Tiba ya Penzi

Penzi hutibiwa kwa maneno ndugu yangu kama hujui kubembereza basi wewe utajiona unamukosi na wapenzi unaokutana nao kwani hakika hutatulia na mpenzi mmoja! Kila utakayempata unadhani umepata wa kweli atakuacha.

Tiba kuu ya penzi kama hujui nakuomba ufuatilie blogu yangu kwa umakini yawezekana kuanzia leo ukawa hukimbiwi na kila mpenzi unayekuwa naye. Kwanza kabisa jitahiti kuwa na maneno matamu ya mahaba kila unapokuwa na mpenzi wako.

Maneno matamu hayo ni kama: "Mpenzi hakika nakupenda zaidi unavyofikria wewe" kumbuka neno hilo unatakiwa kulitoa wakati mumepumunzika au muko katika shughuli pevu ya kupeana malove davu, wakati mukiendelea kupeana ma lov unatakiwa kila wakati utoe miguno ya mahaba huku ukimutekenya mpenzu wako.

Maneno mengine ambayo unatakiwa kuyasema bila kuchoka ni wakati munapotaka kuanza malovu yenu hakikisha unamuambia mpenzi wako kwa sauti ya mahaba "Mpenzi nakuomba njoo unilalie mimi mwenzio mimeshindwa natamani uniingizie nifarijike na utamu wa shahawa yako" sema wala usione aibu mwambie tu kuwa " Mpenzi mbona mimi mwenzio nataka unisugue taratibu katika sehemu yangu huku ukinibusu na kuninyonya matiti yangu kwani mwenzio nateseka nakaribia kufa sasa tafadhri fanya haraka mpenzi angu"

Au kama anachelewa mushike kifaa chake kivutie sehemu husika hapo hata kama ni hanisi atatamani tu utamuona anakushugulikia ipasavyo, na mukimaliza kazi yenu mushukuru mwambie "hakika leo umenifurahisha sana asante mpenzi nakuomba uendelee kunifurahisha kila siku"

Vile vile tumia maneno matamu kila munapokuwa na mpenzi wako kuanzia sasa utaona pendo lenu litakapostawi hakuna kifani.

Sunday, November 2, 2008

Tabia za Mwanaume Mzuri

Mwanaume mzuri mara nyingi anakuwa na tabia ya kiburi kwa wanawake, anapenda sana kumtesa mpenzi wake kutoka na mpenzi wake labda kuonekana kuwa, huwa anamubebeleza kila wakati, huyo huyo mwanaume mzuri ana tabia ya kuwa na marafiki wengi wa kike kutokana na wanawake wengi wanapenda kutembea na wanaume wenye mvuto hata kama watakuwa hawafanyi mapenzi nao utamukuta mwanamke anapenda kutembea nao.

Mwanaume mzuri mara nyingi anakuwa hana pendo la kweli pendo lake labda ni kutaka kitu fulani kwa mwanamuke harafu mwanake huyo akikoswa kile anachokitaka anamupiga chini.
Mwanaume mwenye mvuto anakuwa na tabia ya kupenda kutolewa auti na wanawake ambao wengi wake wanaweza kuwa wnamzidi umri kwa ababu tabia za mwanaume huyo huwa zimezoea kupewa hela na wanawake.
Mwanaume mzuri ni mshawishi kwa wanawake kwani unaweza kumuona anakufaa kumbe umechanganikiwa na mvuto wa sura yake kwahiyo atakochokuambia wewe unakubari tu.

Muombe msahama


Kama utakuwa mpenzi wako umekosea haupaswi kunyamaza huku akiendelea kukuchukia ukinyamaza utasababisha penzi lenu kuelekea kuvunjika. unachotakiwa kama kweli umemukosea mpenzi wako basi tafuta siku au musubili akirudi kutoka kazini muandalie chakula kitamu kweli kweli akija mutengee hicho chakula sogea karibu mule wote kwa pamoja hata kama umeshiba jaribukuwa nae karibu.

Akimaliza kula chakula mupelekee maji ya kuoga akisha maliza kuonga akija chumbani kulala basi muazishie hiyo habari uliyomkosea kwa kumuambia "mpenzi najua nilikukosea sana nakuomba unisamehe mpenzi wangu, hakika sitakuudhi tena kwani mimi nakupenda sana" hapo endelea kumbembeleza ili akusamehe na akikubali kukusamehe basi mwambie "asante kwa kunisamehe mpenzi wangu"

Wakati wa kazi


Mukiwa kitandani na mpenzi wako jaribuni kulala bila nguo kwani kulala na nguo siku hizi kumepitwa na wakati kwahiyo munatakiwa kulala wote mukiwahamuna nguo hata moja isipokuwa shuka tu na shuka yenyewe ni vizuri ikawa moja.


Mukiwa mumelala mwanake unatakiwa kuchangamuka kwa kuanza kumuhamasisha mwandani wako labda kwa kumushika sehemu za hisia au kumukumbatia hukuukisema hilo neno "nakupenda dear mahabuba wa moyowangu" hapo ukimuona hata kama alikuwa amechoka kwa kazi hapo atachangamuka na kuanza kujibu mapigo hapo ndiyo kandamizia sasa na kumshika sawasawa huku ukiukamata uume wake na kuuweka sehemu husika akiinga tu muzungushe kama mashine hapo utamusikia akianza kutoa miguno tu hapo ndiyo unatakiwa sasa umukandamize palepale panapotakiwa utamusikia akimaliza kwa raha amvayo wote wawili hamtasahau utamu wake.

Kukaa uchi ni mhimu


Ndugu msomaji na mfuatiliaji wa blogu yangu jifunze kuwa wakati mwingineunapokuwa na mwandani wako wakati mukiwa chumbani jitahidi sana kuacha sehemu ya mwili wako uchi jaribu kuacha mara mapaja yako wazi au kama umevaa nguo fupi ipandishe juu uache sehemu zako wazi hapo ndiyoutamukamata mpenzi wako kabisa.


Kama wewe na mwanamke fanya hivyo hata wakina baba nao munapokuwa chumbani na mwandani wako jaribu kuacha wazi baadhi ya sehemu zako za mwili ukiwa kifua kiacha wazi pamojana mapaja yako ukiha acha wazi bsi msogekelee mpenzi wako na kumukumbatia kisha mwambie kwa upole neno "Nakupenda sana mpenzi" harafu mubusu na kumushikashika sehemu zake, hakina nakuambia ukifanya hivyo penzi lako na mpenzi wako tadumu milele na mlele.

Mwanbie Mpenzi wako Nakupenda


Neno nakupenda ni neno zito ana katika penzi ukilitumia vizuri neno hili hakika hutaachwa na mpenzi wako. watu wengi hawajui jinsi ya kulitumia neno hili NAKUPENDA. Hili neno unatakiwa kulitumia kila wakati unapokuwa na mpenzi wako.


Ukilitumia vizuri hakika utasitawisha penzi na kulifanya likue kwa kasi ya ajabu ebu ndugu msomaji wa blogu yangu kuanzia sasa jaribu kulitumia hili neno nakupenda nakuhakikishia utaona matokeo yake.


Hata kama mpenzi wako alikuwa anatarajia kutoka nje hapo utakuwa umeshaanza kumteka na kumrudisha dani ya himaya yako taratibu. Kuanzia sasa acha kumkaripia mpenzi wako bali muite mkumbatiena mwambie "Nakupenda sana Mpenzi wangu"

Usiteswe na Penzi


Ili kujiepusha na maumivu makali yanayotokana na kuachwa na mpenzi wako au kumuona mpenzi wako haeleweki kukujali! cha kufanya usikasirike wala kuhuzunika sana kwani ukihudhunika sana unaweza kupata ugonjwa wa moyo, cha kufanya jitahidi kufanya mazoezi kula wakati ili kuuweka mwili wako katika hali ya kuchangamukavilevile mazoezi yatakufanya kuchoka kwahiyo ukienda kulala hutatumia muda wote kuwa macho ukimfikiria mwa ndani wako aliyekuacha auambaye hataki kuwa na wewe karibu.

Uchungu wa Penzi

Penzi ni kitu ambacho kinauma sana, maumivu yake ni makali mno tofauti na maumivu mengine watu wengine wanapoachwa huwa wanadiliki hadi kulia! Hakika penzi huuma pale unapoachwa na mpenzi wako ambaye ulikuwa umemuweka katika roho yako.

Katika dunia hii watu wengi wameugua magonjwa mbalimbali kutokana na kuachwa. unapoachwa na mpenzi wako mara nyingi utakuwa umeathirika kisaikolojia kitendo ambacho kinaweza kukufanya kila wakati uwe unafikria mambo mengi sana. Ili kutibu ugojwa wa kujisikia mpweke la msingi ni kama wewe ni mwanafunzi tumia muda wako mwingi kujisomea kitendo ambacho kitakufanya umusahau mpenzi wako aliyekuacha. Kama wewe ni mfanyakazi labda katika ofisi tumia muda wako mwingi kujishughulisha na kazi za ofisini ukifnya hivyo hakika utasahau maumivu yataisha taratibu mengine ni kufanya mazoezi nk.

Penzi linaumiza kudhidi.