Monday, December 15, 2008

Nguvu ya penzi tumepewa na Mungu


Huwa ninajiuliza hivi penzi ni kitu gani? penzi lilitoka wapi? kwanini ukipenda kuzidi kiasi unakuwa kama kipofu? kwanini penzi linawafanya watu kubadilika? Kwanini penzi linaua yaani mtu anaamua kujiua kisa kakataliwa na mpenzi wake? Au anaamua kumuua mtu aliyemchukulia mpenzi wake?


Yote haya ni nguvu ya penzi ambalo tulipewa na Mungu kwakweli penzi ni kitu kitamu sana tena sana!! hakuna kitu cha muhimu katika dunia hii kama penzi.


Binadamu hata kama munapendana kiasi gani ukimchukulia mpenzi wake urafiki unaisha na munakosana kabisa ikiwezekana hata kufanyiana mambo mabaya. Hata baadhi ya wanyama ukiwakuta wanafanya mapenzi huwa wakali wanaweza kukurarua ukiwasogelea wakizani utawanyang'anya wapenzi wao.


Jamani penzi ni kitu gani? Kwanini penzi linakuwa hivyo?

1 comment:

MARKUS MPANGALA said...

mtu anapiga magoti anabembeleza, anahonga antaka tu kuonjeshwa ile kitu murua tamu kama CHUKALI. kila saaa utasikiaaaaa aaaaah oooooohhh mmmmmm mama weeeeeeee eheeeee ongeza ongeaa hapo hapooooooo mmmmm UTAMU ebo haya mambo kaka siyo mchezo ha ha ha ha ha ha