Saturday, December 27, 2008

Mavazi ni mojwapo ya kuvutia penzi


Ndugu ili upendwe unatakiwa kuwa mbunifu wa mavazi yako, uanatakiwa kutambua mavazi ambayo yanamfurahisha mpenzi wako, jambo hilo linatia hamasa ya mpenzi wako kuvuta hisia hata kama anakuhondomola, akikumbuka unavyovaa nguo zako na kukufiti anapata hamasa zaidi ya kukushughulikia ipasavyo.
Katika tafiti mbalimbali za wataalamu wa mapenzi wanafafanua kuwa binadamu akiwa anafanya mapenzi huwa fikra zake zinatawaliwa na kumfikiria mpenzi wake. Jambo hili humpelekea kupata hisia kali za kumkubuka jinsi anavyomjari, anavyovaa, anavyojituma, anavyoongea, sauti yeke jinsi ilivyotamu yote haya huwa yanaingia katika fikra za wapendanao wakati wakiwa wanakulana au kuhondomolana jambo ambali pia huwafanya wanamaliza mapema, pia humusababisha mwanamke kutoa kilio cha utamu anaoupata kwenye fikra zake, na mwanaume anaweza kutoa milio pia ya kusikia utamu unazidi jinsi anavyohondomola na kupata hisia kali za mpenzi wake.

Tabasamu uhamasisha Ngono

Je, unapokuwa na mpenzi wako huwa unatabasamu? au unanuna kama unakamuliwa jibu? kumbuka kuwa kununa kunasababisha mpenzi wako akuchoke mapema zaidi au kukuacha kabisa. Nakushauri kuanzia sasa hivi jitahidi sana kuwa unatabasamu kila wakati kwani binadamu tumeumbwa na upendo kwa kila mtu, japo kama utajua jinsi ya kumfanya mpenzi wako akupende. Katika dunia hii hakuna dawa ya mapenzi bali dawa ya mapenzi unayo wewe mwenyewe. Kuwa makini utaacha watafuatwa wanaojua kupenda na kuhondomola.

Kwanini penzi unanitesa kiasi hicho.

Penzi ni kipofu. Penzi linatesa sana. Kwanini penzi linatesa? Mtaalam wa masuala ya mapenzi Pinig Huing wa china alibainisha kuwa penzi ni tamu kuzidi kila kitu hapa duniani na kuongeza kueleza kuwa penzi pia linaumiza sana.


Hii ni kweli kabisa ndugu yangu yakupasa kuanzia sasa hivi utambue kuwa penzi ni tamu ukijua hilo ninaimani utamdhamini mpenzi wako na utampenda zaidi. Ili kuhakikisha unamjali mpenzi wako yakupasa uonyeshe upendo kila unapokuwa na mpenzi wako.


Katika dunia ya wapendanao unatakiwa kumjali dear wa moyo wako ili ajui kuwa unamjali jambo ambalo litawafanya muishi kwa furaha na raha za dunia kuziona. Hupaswi kuona kwa mwenzako jinsi anavyomjali dear wake halafu na wewe uanze kumjali mpenzi wako.


Katika vitu vya kuzingatia katika kumuonyesha mpenzi wako unamjali ni kumbusu kila wakati, kumkumbatia kila wakati, kumhondomola ipasavyo huku ukitumia kila staili za kuhondomola, hapo utakuwa umemjali mamsapu wako ipasavyo na jambo hilo hatakusahau kamwe atakuwa anakukumbuka hata kama ukiwa kazini.

Zawadi ni chachu ya penzi


Nani alikuambia kuwa mtu ukimpa zawadi ya pipi utakuwa humpendi? nani alikuambia zawadi zenye thamani ndizo zinaonyesha ishara ya pendo?


Karlosia Hukou mwanasaikolojia wa nchini Korea aliwahi kuandika katika kitabu chake cha "Gift is Gift" mwaka 2006. Ambapo katika kutabu hicho alielezea kuhusu umuhimu wa zawadi kwa wapendanao.


Hukou alibainisha kuwa zawadi ni ishara ya upendo haijalishi zawadi ya thamani gani?, alieleza kuwa hata mpenzi wako ukimununulia nguo ya ndani kama anakupenda atazidi kukupenda zaidi.


Naye Sarah James wa Marekani aliwahi kubainisha katika tafiti (research) yake aliyoifa mwaka 2008 katika chuo cha Havard, alifafanua kuwa iwapo mpenzi wako utakuwa unamfanyia saplaisi ya kumnunulia zawadi ndogo ndogo kama pipi na kumpa huku ukimwambia "Mpenzi wangu pokea hii zawadi nimenunua kwa ajili yako dear" jambo kama hilo alisema linadumisha penzi.


Je, wewe unamununulia zawadi za aina gani mpenzi wago?