Wednesday, December 10, 2008

Penzi la Kweli


Penzi la kweli ni lile la kuaminiana na kujaliana kwa kila jambo. Penzi la kweli halipimwi na utajiri. Penzi la kweli halipimwi na vigezo. Penzi la kweli halina mfupi na mrefu. Penzi la kweli halina Muzungu na Mwafrika. Bali penzi la kweli ni kupendana kutoka rohoni.

Ukiwa beach


Japo kama umetoka na mpenzi wako mkaenda ufukweni kupungwa upepo huku mukiinjoi maisha ya huko cha msingi hakikisheni munafanya mamboyenu bila kuogopana ili mkitoka pale kila mmoja amelizika na huduma ya mwenzake. Munatakiwa kkubebana na kubusiana kila mmoja na malov dav mengine.


Mtaalam mmoja wa mapenzi aliwahi kusema "kubadilisha mazingira kwa wapendanao husababisha upendo kuongeza" pia aliongeza kuwa "jambo hilo linasababisha kudumisha penzi na kuaminiana katika penzi"