Monday, March 7, 2011

Wanablugu Nimerudi Tena

NIMERUDI tena baada ya kutingwa na kazi nyingi sana! Ila kwa sasa nimerudi kwenye chakula chetu cha kila siku nilikimis sana nilikuwa nakosa nguvu kwa sababu ya kukosa chakula chetu kwa wale ambao wanataka kujua nilikuwa wapi? Nilikuwa nimebanwa na jamaa mmoja anayeitwa muda hakika nilikuwa mutumwa wa muda kila kitu huyu muda alikuwa ananiamulisha! lo! Nimekoma na huyu muda!Hakiaka angekuwa anaonekana ningemkomoa kwelikweli! Ila nawapenda wote wanablogu wenzangu mmmwaaaaaa!!