Sunday, December 12, 2010

Uchungu wa Penzi

Watu wengi hutoa machozi pale wanapoachwa na wapenzi wao, Mpenzi msomaji wa blogu yako uipendayo ya saikolojia leo nitakueleza kuhusiana na chozi la penzi: Unajua wataalamu wa mambo ya mapenzi wanasema kuwa Mwanamke ni mwepesi sana kutoa machozi pindi anapoachwa na mpenzi wake hii inatokana na mwanamke kuubwa na moyo wa kuwa na penzi la rohoni.

Wataalamu wa mambo ya mahaba wanasema kuwa wanawake wameumbwa kwa penzi la rohoni yaani la ndani tofauti na wanaume, hii ndiyo inasababisha mwanake akiachwa na mpenzi wake hujisikia vibaya na kujiona kama hafai kabisa kwa mwanaume yoyote kitendo ambacho kinamfanya anatoa machozi kwa wingi sana.

Mwanaume kaumbwa kwa penzi la fikra kama wanavyotufahamisha wataalamu wa mapenzi hii ndiyo maana wanaume wengi ni vigumu sana kulia pale wanapoachwa na wapenzi wao japo wapo wanaolia lakini sio wengi japokuwa huwa wanaumia sana rohoni lakini kutokana na elementi walizoumbwa nazo inakuwa vigumu kutoa machozi. "Nakusihi uendelee kuburudika zaidi na blogu yako usisahau kutoa maoni"

Sunday, November 21, 2010

Harufu ya Wizi Yanukia UDOM

Makamu mkuu wa  chuo Prof. Idrisa Kikula
LEO wapenzi wa blogu hii nitaongelea kidogo kuhusu wanafunzi wa chuo Kikuu cha Dodoma  (Udom), katika hali ya kushangaza na kusikitisha na pengine kupelekea kuathiri kisaikolojia katika hali ya kufikiri na kujiwekea malengo kwa wanafunzi hao.

Katika pitapita zangu kama mwandishi wa habari nilikutana na wanafunzi hao na waliponiona tu, wakanipokea kwa shangwe sana huku sura zao zikionyesha kupata furaha ya kuniona, nami kwa hali kama hiyo nilijikuta nawauliza kulikoni kisaikolojia wanaonekana kufadhaika sana?. Lakini kwa sura za huzuni wakanijibu.

"Kaka tunasikitishwa sana na harufu ya wizi inayotukabili katika chuo chetu" alisema Hamisi mwanafunzi wa mwaka wa tatu na kuongeza kuwa; "Harufu ya wizi inanuka hapa chuoni tunalazimishwa kulipa direct costs kubwa sana tofauti na miaka ya nyuma"

Wanafunzi hao waliendelea kusema kuwa mwaka huu wa masomo 2010/2011 wanalazimishwa kulipa direct costs jumla ya shilingi Tshs. 88,000/= kwa mhura, tofauti na mwaka wa masomo uliopita ambapo walilipa jumla ya Tshs. 76000/=

Walisema kutokana na kauli ya uongozi wa chuo hicho UDOSO waliwataka wasilipe pesa hizo bali walipe kiasi cha Tshs.81,000/= ambapo walichanganua kuwa accomodation ni Tshs. 56,000/= pesa ya mtihani ni Tshs. 20,000/= na hela ya usajiri ni Tshs. 5,000/= jumla Tshs. 81,000/=, lakina pamoja na tamko la UDOSO uongozi wa chuo bado unakataa, jambo ambalo linawasikitisha wanafunzi hao.

Walisema chuo kinatakiwa kutoa maelezo ya kutosha ili kuwalizisha wanafunzi hao kwani bila maelezo ya kutosha wanaona kama wanaibiwa pesa zao, na ukizingatia wengi wao wanatoka katika familia masikini sana .

Sasa ndugu wanablogu wenzagu sasa tujadili kuhusu chuo hicho kuwa na utaratibu usioeleweka kwa wanafuzni. Je, dalili gani hasa? Je, ni utaratibu mzuri unafanya na chuo chetu  kikuu Afrika mashariki na kati? Tatizo liko wapi kwa uongozi wa chuo au? Nakaribisha maoni yenu bonyeza katika kisantuku kilichoandikwa toa maoni na utoe maoni yako yatasomwa na watanzania dunia nzima.

Monday, November 15, 2010

Jinsi ya Kumfanya Mwanamume Apagawe na Penzi Lako

LEO nimependa  kuongerea kuhusu  namna ya kudumisha penzi iwapo wewe umeolewa hasa kwa kina mama ambao penzi lao ninaelekea kuyeyuka. Na bila jitihada za hapa na pale penzi lako na mumeo linaweza kunyauka kabisa!!! Na ukumbuke wahenga walisema PENZI ni MAUA kuna kuchanua na kunyauka. Na penzi linaponyauka huwa yanatokea maumivu makali sana ndani ya moyo, maumivu ambayo hayana kifani. Sasa ufanye nini ili penzi lako lisinyauke? Zingatia yafatayo:

i) Hakikisha unakuwa karibu na mumeo
ii) Mumeo akirudi kutoka safarini au kazini mupokee kwwa mabusu na upendo wa hali ya juu
iii) Kama utakuwa na nafasi jitahidi kumuandikia msg mumeo za upendo na kumfariji
iv) Na mwisho kumbuka kuwa munapokuwa katika sita kwa sita jitahidi kutoa sauti ya mahaba huku ukijitahidi sana kumpa penzi kutumia ujanja wako, na kama atamaliza mwambie "POLE MUME WANGU"

.
Kwa leo ninakomea hapo kumbuka kuwa wanaume ni watu wa kujaliwa kila wakati na kubembelezwa Mwanasaikolojia wa mapenzi Dr. Linda wa chuo kikuuu cha Oxford aliwahi kunena ya kwamba hakuna dawa ya mapenzi zaidi ya kuonyesha upendo kwa umupendae.

Saturday, November 13, 2010

THE WORD RELATIONSHIPS

Relationships move beyond friendship. They occur when two people feel emotionally attached, fulfill each other’s needs and generally feel interdependent. When a true relationship exists, several components are present:

Trust; relationships must be built on a foundation of trust. We need to be to count on others and feel that they will be open with us.
Honesty; no relationship can survive if the partner are no honest with one another. Each partner must share a commitment of truth. Those in good relationships accept one another, blemishes and all. A relationship based on untruths or even half-truths lacks depth and meaning.

Mutual support; healthy relationships are characterized by mutual support. A partner’s well-being should have an impact on you, and your well-being should affect your partner. In best way the partner seek out what is best for both, and they act as advocates for and defend each other.

Loyalty; the mark of a good relationship is loyalty. Loyalty implies the relationship partners are supportive of each other, even in times of adversity and difficulty.
Acceptance; your best friend develops a love for the Dave Mathews band and listens to their CDs seemingly without interruption. You can’t stand listen to them. Do you decide that you can no longer be friends? Of course not.

BULDING LASTING RELATIONSHIPS

Few of us we lead our lives isolation. There’s reason for this: relationships with others a critical aspect of our sense of well-being. The support of friends and relatives helps us feel good about ourselves. In fact studies have found that our physical and psychological health may suffer without friendships. The social support of others acts a guard against stress and illness. And if we do get sick, we recover more quickly if we have a supportive network of friends.

“I have met the most amazing individuals and made the most incredible friends in such a short amount of time” Said Lenny UDOM University student

Although some of us making friend is ease, for others making friends is some difficult. But building relationships is not a mystery. Here are several ways to go about it.

Invest time with others; there is no better way to demonstrate that you are interesting in friends than investing time. You can expect friendships to flourish unless you spend time with people.

Reveal yourself; good friends understand each other. The best way to make that happen is to let others get to know you. Talk about where you come from, what is your family like. Find out about the other person. Having deeply understanding about where someone comes from not only helps to build bridges between people of different racial and ethnic backgrounds but it also helps build friendships. By honestly communicating your beliefs and altitudes, you give others the chance to learn those things you have in common.

Let other know you like them; it seems scary, but don’t be coy and try to pretend you are uninterested in the friendships of others. Take the risk of being rebuffed. You don’t have to announce outright that you like someone. Instead reveal you interest in a friendship by inviting the person to do something with you or simple by engaging in conversation, sharing something about your life. Your actions will speak louder than word

Accept others as they are; not as you would like them to be; one mark of friend is to acceptance of people the way they are, warts and all, and not way would like them to be. Do not impose conditions on accepting others. Keep in mind that no one is perfect and that everyone has both good and bad qualities.
Show concern and caring; this is really the substance of friendship and the basis for the trust that develops between friends. Don’t be afraid to show your interest in the fortunes of others and to share the sadness then they share some setback or loss.

Not everyone make a good friend; people who put you down, consistently make you feel bad, or behave in ways that violate your own personal standards are not friends. Choose your friends based on the good feelings you have when you are with them and the concern and caring they show for you. Friendship is a two way street.

Friday, November 12, 2010

The Ways That Make Success in Life & Education


ORGANIZE
By determining where you want to go and expressing your goals in terms that can be measured, you have already made a lot of progress. You might thing you’re now ready to head out and begin the intellectual trip to student success. Consider the tools for studying

WORK
You’re ready. Preliminaries are out of the way. You’ve prepared and you’ve organized. Now its time to get started actually doing the work. In this consider the following:

•Effort is the causes of success

•Be response to your failures; when you do poorly don’t blame the teacher, text books, or job that keep away from studying.

•Think positively, assume that the strength that you have will allow you to succeed and that and if you have problems you can figure out what to do.

•Accept that you can’t control every thing; think things that can be changed and those can’t.



EVALUATE
In this you should do an evaluation of your work, and after that you should do the following:

•Take a moment to congratulate yourself and feel some satisfaction. If you have done the work according to reach your goals or at least to the point of reaching goal just congratulate yourself.

•Compare what you’ve accomplished with the goals you’re seeking to achieve. Think back to the goals, both short-term and long-term that you are seeking to achieve.

•Evaluate what you’ve done if you were your current instructor. Now exchange body and mind again. This time, consider what you’re doing from the perspective of the instructor w ho gave you the assignment. How would he/she react to what you have done?

•Be fair to yourself; the guidelines for evaluation will help you to determine just how further work is necessary and, even more important, what work is important?

•Based on your evaluation, revise your work; if you’re honest with yourself it’s unlikely that your first work will satisfy you. So go back to work and revise to what you have done.

RETHINK
Rethink what you have accomplished earlier means to bring a fresh eye to what you have done. It involves critical thinking that involves reanalyzing, questioning and challenging our underlying assumptions.

Strategies for Success in College and Life

Dear Student,

Do you find that there’s not enough time t o accomplish all the things you want to do? Do you put off studying for tests until the last minute? Do you sometimes have trouble making decisions?

If so you’re not alone. Every first year college student encounters challenges such as these, and many others. That’s where Psychology Blog brings to learning strategies for success in colleges and life come in it. It is designed to help you master the challenges you will face in college and in you are everyday life. The over learning system which is based on five key steps embodied in word POWER (Prepare, Organize, Work, Evaluate and Rethink). These teach strategies that will help you to become a more successful student and that will give you an edge in attaining what you want to accomplish in your life.

But it’s up to you to make use of this blog. By familiarizing yourself with its features and using the built-in learning aids, you’ll maximize its usefulness and be more likely to get the most out of it.

Friday, April 9, 2010

Je utajisikiaje kama mpenzi wako atakuambia sina cha kukupa ila nakupa hili pendo mpz?

I Give This Love to You

By Lutonja Fita

I give this love to you
Since I have nothing to give you
Keep it like heart
When night comes to cove you
The winter can bite through NOT
I love you dear Subira.

I have nothing else to give you
So it is only love full of valentine
That no one can count
I say no one can count
It is only you to count
I love you dear Subira.

I have nothing else to give you
Only warmly love dear
To warm your body like arm
To warm your skin in huge dream
Like train passing Mwanza to DSM
I love you dear subira.

Keep it like treasures
Life become sweet in night dreams
Sweet as Azam ice creams
Sweet as juice Zam Zam
That made in Dar es Salaam
I love you dear Subira.

Warm yourself with this love let
Love originated to my heart
Don’t move to any cold hut
Rest in this feels safety
Warmly love like coat
I love you dear Subira.

It’s all dear to give you
Since I have nothing else to give
Only enough for you is love
Even God emphases love
Adam and Eve shared love
I love you dear Subira,

Thursday, March 25, 2010

Utajitambuje Kama Unaakili???????????????????????


KWA mujibu wa Mwanasaikolojia mwenzangu Howard Gardiner aliandika kuwa binadamu wanatofautiana kiakili kila binadamu anauwezo wake katika kufikiri.

Sasa ndugu mpenzi wa blogu hii, utajitambuaje kuwa wewe unaakili kiasi gani? Wewe na wenzako munatofautiaje katika kufikiri? Kulingana na akili uliyonayo unatakiwa uwe nani na uishije katika dunia hii?

Jibu la maswali hapo juu ni kwamba ili kujitambua akili yako unatakiwa kuwafanya mahesabu ya akili yako. Na kwa mujibu wa Gardiner unatakiwa kufuata fomula hii hapa chini:

Chukua Akili ya Umri wako gawanya kwa Mtiririko wa Umri wako na Zidisha kwa Miamoja = Akili yako.

Akili= Mental Age (MA)            x    100
          Chronological Age (CA)

Kama mental age ni kubwa kuliko chronogical age jua kuwa akili yako iko juu zaidi ya kawaida, kama mental age iko sawa na chronological age jua kuwa akili yako ipo katika hali ya kawada na kama mental age iko chini ya chronological age jua kuwa akili yako iko chini ya kawaida.

Sasa jitambue wewe uko katika hali gani jifanyie uchunguzi ili kujitambua zaidi fanya mahesabu ya kujua akili yako ili uweze kujikonturo na maisha, jiwekee malengo kwa kufuatana na uwezo wako wa kufikiri. Ni hayo tu mpenzi wa blogu hii na kama unapenda zaidi kujifunza juu ya habari hii bonyeza katika kifungu cha kuchangia maoni na acha maelezo yako hakika nitayafanyia kazi.Zaidi kujitambua ni muhimu katika maisha yako

Sunday, March 21, 2010

Penzi ni Tamu Sana Jaribu Uone???



PENZI ni tamu sana kila mtu anatambua hilo, na kukoswa pendo ni uchungu sana katika maisha ya binadamu.

Pamoja na hayo yawezekana wewe unayesoma blogu hii na wewe unampango wa kumuacha mpenzi wako, kutokana na sababu mbalimbali lakini yote hayo ni sawa na kupotea ndugu yangu.

Nakuomba sana usimuache mke wako kwani daima ulishamutamkia kuwa unampenda na hutamuacha kamwe katika maisha yako! Kumbuka baada ya kumuacha mrembo bibie utapata nini au utafaidika na nini? Zaidi ya kuanza kujuta na kuumia roho yako?

Wapo wanaume wengi wanaoachana na wake zao matokeo yake wanaanza kujutia kitendo hicho.

Namkumbuka baba mmoja tajiri mkubwa katika jiji hili la Dar aliwahi kuja katika ofisi zetu za ushari ili kuomba ushari wa doa yake
Baada ya mke wake kuchoshwa na baba huyo na kuamua kurudi kwao Mwanza.

Sasa baada ya kuachwa baba huyo alianza kuumia zaidi na kuwa anashinda nyumbani badala ya kwenda kazini, jambo ambalo lilimpelekea kuja ofini kwetu kuomba ushauri wa kufanya ili mke wake arudi.
Nasi tulimpatia ushauri na tukamuita mke wake naye tukamupa ushauri wa umuhimu wa mke na mume katika ndoa, jambo ambalo liliwaunganisha na mpaka sasa wanaishi kwa amani na upendo wa ajabu.

Sasa ndugu yangu kumbuka kuwa mwanamke ni muhimu sana katika maisha yako, mwanaume ameumbwa kwa ajili ya mwanamke na mwanamke kwa ajili ya mwanaume sasa kunahaja gani ya kumtukana mke wako ambaye ni mzuri? Kunahaja gani ya kumfukuza mke wako anaye kupa penzi la dhati? Na kunahaja gani ya kuwa na msongo wa wawazo kisa mke wako mwenye penzi tamu kaondoka? Sasa mwambie mke wako nakupenda sana mke wangu na sitakuacha kamweeeee.

Jitambue

BINADAMU tumezaliwa kuwaza kila wakati Mwanasaikolojia Alfred Binett mtaalamu wa mambo ya Intelligent Quotients (IQ) alisema kuwa ndani ya dakika moja binadamu huwa anawaza mambo mengi sana.

Kwa hiyo ili kufikia malengo na mikakati ya maisha yako unatakiwa kujitambua uko katika sehemu ipi hasa unapowaza mikakati ya maisha yako.

Usikubali kuyapa nafasi kubwa mawazo yasiyokuwa na manufaa katika maisha yako jitahidi kuyatupilia mbali na kukubaliana na mawazo ambayo yatakuletea manufaa, amini kuwa hujazaliwa masikini bali umezaliwa kuishi kutokana na unavyotaka.

Kumbuka kuwa mikakati ya mawazo yako ndiyo yatakufanya ufikie malengo, anza sasa kuwaza mafanikio hakika utaona.

DIGITAL MEDIA PRODUCTIONS LTD

Watengenezaji wa vitambulisho, business cards, matangazo mbalimbali ikiwa pamoja na kupiga photocopy, kuprint vipeperushi, vitabu, magazeti, majarida ya kila aina sasa wamekupunguzia bei.

Kwanini uhangaike? wakati DMPL wapo kwa ajili yako, lete kazi yako sasa tutaitengeneza kwa kiwango cha hali ya juu.

Kwa maelezo zaidi fika chuo kikuu cha Dodoma block “F” chumba nambari 74 au wasiliana nasi kwa simu: 0764 992264, 0719 020253 au tuandikie: 1982leonard@live.com




LAPTOP INAUZWA

Laptop yenye rangi ya silver, speed processor 1.735, Pentium M, screen kubwa inahali nzuri inauzwa kwa bei poa. Kama unahitaji kwa shughuli zako mbalimbali wasiliana kwa simu 0719 020253, 0764 992264.

Tangazo be the partnerof profits

BLOGU yako ya Saikolojia bado inakaribisha matangazo kwa wale wote wanaotaka kutangaza biashara zao kupitia mtandao huu unaangaliwa dunia nzima.

Kumbuka kuwa biashara ni matangazo, tangaza biashara yako upate faida zaidi na zaidi hakika mtandao wa Saikolojia unalipa zaidi.

Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa simu: 0764 992264 au 0719 020253 kwa e-mail: fitazi@hotmail.com



PSYCHOLOGY blog now welcome you to advertise your business on this blog which is viewed by all people around the world.

Remember that business is a partner of ADVERTS, make more profits through advertisings & remember that Psychology blog pays.

For more information contact us: +255 764 992264, +255 719 020253, e-mail: fitazi@hotmail.com

Friday, January 22, 2010

Uchumba na Marafiki

KUTOKANA na blogu hii kuwa ni mojawapo ya kivutio kwa watu mbalimbali dunia, baachi ya wadau wa wamependekeza kuwepo na nafasi za watu kujitokeza na kutafuta wachumba na marafiki. Wafuatao wanatafuta wachumba na marafiki:
Anaitwa Asha Hamis jinsia mwanamke anasoma chuo kikuu cha Dodoma, umri wake ni miaka (23) ,mrefu wa wasitani, rangi yake ya maji ya kunde, msafi na anapenda kuolewa, amejitokeza katika safu hii ya blogu akitafuta mchumba ambaye atakuja kuwa mume wake kipenzi cha moyo. Habagui kabila wala dini bali anachohitaji ni mwanaume. Kama yupo ambaye ameguswa naye awasiliane naye kwa namba 0719 030354
Pia naye Subira Juma wa Tanga, umri miaka 43, jinsia mwanamke, kazi ni mfanyabiasha wa bidhaa za magari, naye amejitkeza kupitia E-mail ya blogu hii ambayo ni: fitazi@hotmail.com akitafuta mume wa kumuoa ambaye anaumri wa kuanzia miaka 23 hadi 60. Kama yupo mwanaume huyo awasiliane naye kwa namba 0787 183736
Kama unatafuta mchumba,rafiki, mke mume au unataka ushauri wa kidoa, unahitaji maisha ya furaha siku zote, Andika shida yako na utume kupitia E-mail ya blogu hii: fitazi@hotmail.com au wasiliana nasi kwa simu namba: 0764 992264. Usihangaike tuma sasa hivi.