Sunday, November 2, 2008

Tabia za Mwanaume Mzuri

Mwanaume mzuri mara nyingi anakuwa na tabia ya kiburi kwa wanawake, anapenda sana kumtesa mpenzi wake kutoka na mpenzi wake labda kuonekana kuwa, huwa anamubebeleza kila wakati, huyo huyo mwanaume mzuri ana tabia ya kuwa na marafiki wengi wa kike kutokana na wanawake wengi wanapenda kutembea na wanaume wenye mvuto hata kama watakuwa hawafanyi mapenzi nao utamukuta mwanamke anapenda kutembea nao.

Mwanaume mzuri mara nyingi anakuwa hana pendo la kweli pendo lake labda ni kutaka kitu fulani kwa mwanamuke harafu mwanake huyo akikoswa kile anachokitaka anamupiga chini.
Mwanaume mwenye mvuto anakuwa na tabia ya kupenda kutolewa auti na wanawake ambao wengi wake wanaweza kuwa wnamzidi umri kwa ababu tabia za mwanaume huyo huwa zimezoea kupewa hela na wanawake.
Mwanaume mzuri ni mshawishi kwa wanawake kwani unaweza kumuona anakufaa kumbe umechanganikiwa na mvuto wa sura yake kwahiyo atakochokuambia wewe unakubari tu.

Muombe msahama


Kama utakuwa mpenzi wako umekosea haupaswi kunyamaza huku akiendelea kukuchukia ukinyamaza utasababisha penzi lenu kuelekea kuvunjika. unachotakiwa kama kweli umemukosea mpenzi wako basi tafuta siku au musubili akirudi kutoka kazini muandalie chakula kitamu kweli kweli akija mutengee hicho chakula sogea karibu mule wote kwa pamoja hata kama umeshiba jaribukuwa nae karibu.

Akimaliza kula chakula mupelekee maji ya kuoga akisha maliza kuonga akija chumbani kulala basi muazishie hiyo habari uliyomkosea kwa kumuambia "mpenzi najua nilikukosea sana nakuomba unisamehe mpenzi wangu, hakika sitakuudhi tena kwani mimi nakupenda sana" hapo endelea kumbembeleza ili akusamehe na akikubali kukusamehe basi mwambie "asante kwa kunisamehe mpenzi wangu"

Wakati wa kazi


Mukiwa kitandani na mpenzi wako jaribuni kulala bila nguo kwani kulala na nguo siku hizi kumepitwa na wakati kwahiyo munatakiwa kulala wote mukiwahamuna nguo hata moja isipokuwa shuka tu na shuka yenyewe ni vizuri ikawa moja.


Mukiwa mumelala mwanake unatakiwa kuchangamuka kwa kuanza kumuhamasisha mwandani wako labda kwa kumushika sehemu za hisia au kumukumbatia hukuukisema hilo neno "nakupenda dear mahabuba wa moyowangu" hapo ukimuona hata kama alikuwa amechoka kwa kazi hapo atachangamuka na kuanza kujibu mapigo hapo ndiyo kandamizia sasa na kumshika sawasawa huku ukiukamata uume wake na kuuweka sehemu husika akiinga tu muzungushe kama mashine hapo utamusikia akianza kutoa miguno tu hapo ndiyo unatakiwa sasa umukandamize palepale panapotakiwa utamusikia akimaliza kwa raha amvayo wote wawili hamtasahau utamu wake.

Kukaa uchi ni mhimu


Ndugu msomaji na mfuatiliaji wa blogu yangu jifunze kuwa wakati mwingineunapokuwa na mwandani wako wakati mukiwa chumbani jitahidi sana kuacha sehemu ya mwili wako uchi jaribu kuacha mara mapaja yako wazi au kama umevaa nguo fupi ipandishe juu uache sehemu zako wazi hapo ndiyoutamukamata mpenzi wako kabisa.


Kama wewe na mwanamke fanya hivyo hata wakina baba nao munapokuwa chumbani na mwandani wako jaribu kuacha wazi baadhi ya sehemu zako za mwili ukiwa kifua kiacha wazi pamojana mapaja yako ukiha acha wazi bsi msogekelee mpenzi wako na kumukumbatia kisha mwambie kwa upole neno "Nakupenda sana mpenzi" harafu mubusu na kumushikashika sehemu zake, hakina nakuambia ukifanya hivyo penzi lako na mpenzi wako tadumu milele na mlele.

Mwanbie Mpenzi wako Nakupenda


Neno nakupenda ni neno zito ana katika penzi ukilitumia vizuri neno hili hakika hutaachwa na mpenzi wako. watu wengi hawajui jinsi ya kulitumia neno hili NAKUPENDA. Hili neno unatakiwa kulitumia kila wakati unapokuwa na mpenzi wako.


Ukilitumia vizuri hakika utasitawisha penzi na kulifanya likue kwa kasi ya ajabu ebu ndugu msomaji wa blogu yangu kuanzia sasa jaribu kulitumia hili neno nakupenda nakuhakikishia utaona matokeo yake.


Hata kama mpenzi wako alikuwa anatarajia kutoka nje hapo utakuwa umeshaanza kumteka na kumrudisha dani ya himaya yako taratibu. Kuanzia sasa acha kumkaripia mpenzi wako bali muite mkumbatiena mwambie "Nakupenda sana Mpenzi wangu"

Usiteswe na Penzi


Ili kujiepusha na maumivu makali yanayotokana na kuachwa na mpenzi wako au kumuona mpenzi wako haeleweki kukujali! cha kufanya usikasirike wala kuhuzunika sana kwani ukihudhunika sana unaweza kupata ugonjwa wa moyo, cha kufanya jitahidi kufanya mazoezi kula wakati ili kuuweka mwili wako katika hali ya kuchangamukavilevile mazoezi yatakufanya kuchoka kwahiyo ukienda kulala hutatumia muda wote kuwa macho ukimfikiria mwa ndani wako aliyekuacha auambaye hataki kuwa na wewe karibu.

Uchungu wa Penzi

Penzi ni kitu ambacho kinauma sana, maumivu yake ni makali mno tofauti na maumivu mengine watu wengine wanapoachwa huwa wanadiliki hadi kulia! Hakika penzi huuma pale unapoachwa na mpenzi wako ambaye ulikuwa umemuweka katika roho yako.

Katika dunia hii watu wengi wameugua magonjwa mbalimbali kutokana na kuachwa. unapoachwa na mpenzi wako mara nyingi utakuwa umeathirika kisaikolojia kitendo ambacho kinaweza kukufanya kila wakati uwe unafikria mambo mengi sana. Ili kutibu ugojwa wa kujisikia mpweke la msingi ni kama wewe ni mwanafunzi tumia muda wako mwingi kujisomea kitendo ambacho kitakufanya umusahau mpenzi wako aliyekuacha. Kama wewe ni mfanyakazi labda katika ofisi tumia muda wako mwingi kujishughulisha na kazi za ofisini ukifnya hivyo hakika utasahau maumivu yataisha taratibu mengine ni kufanya mazoezi nk.

Penzi linaumiza kudhidi.