Monday, November 15, 2010

Jinsi ya Kumfanya Mwanamume Apagawe na Penzi Lako

LEO nimependa  kuongerea kuhusu  namna ya kudumisha penzi iwapo wewe umeolewa hasa kwa kina mama ambao penzi lao ninaelekea kuyeyuka. Na bila jitihada za hapa na pale penzi lako na mumeo linaweza kunyauka kabisa!!! Na ukumbuke wahenga walisema PENZI ni MAUA kuna kuchanua na kunyauka. Na penzi linaponyauka huwa yanatokea maumivu makali sana ndani ya moyo, maumivu ambayo hayana kifani. Sasa ufanye nini ili penzi lako lisinyauke? Zingatia yafatayo:

i) Hakikisha unakuwa karibu na mumeo
ii) Mumeo akirudi kutoka safarini au kazini mupokee kwwa mabusu na upendo wa hali ya juu
iii) Kama utakuwa na nafasi jitahidi kumuandikia msg mumeo za upendo na kumfariji
iv) Na mwisho kumbuka kuwa munapokuwa katika sita kwa sita jitahidi kutoa sauti ya mahaba huku ukijitahidi sana kumpa penzi kutumia ujanja wako, na kama atamaliza mwambie "POLE MUME WANGU"

.
Kwa leo ninakomea hapo kumbuka kuwa wanaume ni watu wa kujaliwa kila wakati na kubembelezwa Mwanasaikolojia wa mapenzi Dr. Linda wa chuo kikuuu cha Oxford aliwahi kunena ya kwamba hakuna dawa ya mapenzi zaidi ya kuonyesha upendo kwa umupendae.

10 comments:

Anonymous said...

Swafia sana mwanamke mwenye mpododo kama huo yani we acha tu.

Fita Lutonja said...

Asante sana ndugu yangu endelea kuangali na kusoma blogu ya Saikolojia. ila nakuomba ungechangia maoni kwa kutumia jina lako au E- mail yako.Asante.

Yasinta Ngonyani said...

Ni kweli penzi ni maua. Mada imetulia.

Fita Lutonja said...

Asante sana kwa kuendelea kutoa maoni

Kitoto said...

Haya maoni yametulia kwel kweli. Blogu namna hii nchi zilizoendelea si nyingi zinazowalenga wanawake ambao wanasahau mapenzi (na kudumisha ukali zaidi); nyingi zinawalenga zaidi wanaume. Hivyo wanawake wengi hawana mabwana. Hapa Afrika ndo maana Wanaijeria wengi wanakimbilia wanawake wa Kibongo kwa kuwa wamejawa mapenzi yanayonyauka nchi nyingine...

Fita Lutonja said...

Asante sana kwa maoni mazuri

Anonymous said...

Nimeipenda sana hii Mada nitakutafuta ili tuangalie namna ya kufanya ili ujumbe ufike kwa watu wengi zaidi maana watu wengi wa maisha ya kawaida hatujui kutumia Computer na hivyo hawawezi kusoma jumbe kama hizi

Anonymous said...

Hamna penzi tamu kama la chuma mboga yani raha ile mbaya.

Unknown said...

Amazing

JESSY said...

it true