Sunday, December 28, 2008

Utamu wa mapenzi unafanana na nini?

BILA shaka msomaji wa blogu hii unampenda sana wako kipenzi na yawezekana unafanya kama huyo hapo kwenye picha anavyofanya kuonyesha kuwa mnapendana sana, na ikifika wakati wa chakula cha usiku unabonyeza/ unabonyezwa vizuri tu na unasugua kwa uraini huku utamu wa mpenzi wako unausikia vizuri.

Ebu fikiria iwapo inatokea siku moja, mpenzi wako akakusaliti na kwenda kumpa chakula cha usiku mtu mweingine utajisikiaje? au itokee siku mpenzi wako akaamua kukuacha na kwenda kuolewa na mtu mwingine.

Fikria maumivu utayoyapata ni ya aina gani? Hakika penzi ni tamu kwelikweli hasa kwa yule anayempenda kwa moyo wote. Sasa tujadiliane unasemaje?

4 comments:

MARKUS MPANGALA said...

Nina HAMU sana unajua? ninaHAMU mpka nashindwa kujizuia? NinaHAMU mpaka najisikia kulia, nina hamu mapka naona natetemeka. Mapenzi MATAMU jamani naomba kusaka mlimbwende anipe HAMU ya kuwa na UTAMU duuu nimechangaykiwa au? kwaheriii mkuu

Fita Lutonja said...

Utamu huu ulitoka wapi au Mungu aliutoa wapi? Mimi sijui labda muniambie

Masoud Kamoleka said...

haufananani na chochote, ndio maana watu hujitoa roho pale mapenzi yanapowaendea kombo

Unknown said...

acha izooo mkuu.