IMERUDI tena kwenye kibaraza chetu, karibuni sana nilikuwa nigeria nasoma masters ya Journalism Curriculum Development and Designing nimemaliza nimerudi TZ coz naipenda nchi yangu japo mafisadi wananikatisha tamaa mpaka nilifikia uamuzi wa kutaka nisirudi TZ lakin rafiki yangu mpendwa Cretus akanishauri nirudi nimefurahi kukutana na watanzania wenzangu. Hapo juu ni dada ambaye alinisaidia kuchapa RESEARCH REPORT yangu, ni dada mkarim sana hakika sitamsahau ktk maisha yangu, bila yeye yawezekana nisingemaliza masomo yangu.
Jamani nimekumbuka kitu kimoja niliambiwa na rafiki yangu ambaye tulikuwa tunasoma naye huko nje aliniambia "Tanzania ni nchi nzuri sana lakini kuna ufisadi mkuu katika sekta ya elimu hasa wanapoajiriwa walimu wapya kwani huwa hawalipwi mishahara yao miezi miwili kitu ambacho kinawafanya waishi maisha ya kuomba omba kwa wanafunzi na walimu wengine" maneno haya yalitia uchungu sana na nchi yangu. Ni hayo tu ila nawaomba tujadiri "JE NCHI YETU INATOA HAKI KWA WALIMU???????? Kazi kwenuuuuuuuuuuu.
Wednesday, March 28, 2012
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


4 comments:
karibu tena...ila ni vibaya kuondoka bila kuaga unajua...
Karibu tena Mwanasaikolojia. Tunategemea kuona matunda ya kile ambacho umekipata katika masomo.
Huyo mchungaji Denis ni wa madhehebu gani?
can we share a little bit in curriculum and psychology?
Ushuhuda Wangu wa Kutoka Moyoni 💖
Baada ya baba yangu mdogo kuniacha kwa miezi saba mirefu, nilikuwa nimevunjika moyo kabisa. Alinizuia kwenye mitandao yote ya kijamii, akaondoka, na hakukuwa na njia ya kumfikia. Karibu nikate tamaa, lakini ndani kabisa nilijua singeweza kupata mtu yeyote ambaye angenipenda na kunitendea jinsi alivyonitendea.
Siku moja, bosi wangu kazini aligundua jinsi nilivyokuwa na huzuni na akanitambulisha kwa Dkt. Dawn. Dkt. Dawn alisikiliza hadithi yangu na akaahidi kwamba mpenzi wangu angerudi kwangu ndani ya siku tatu. Kwa kweli, sikuamini mwanzoni—lakini kwa mshangao wangu mkubwa, siku ya tatu simu yangu iliita. Ilikuwa yeye! Alikuwa akilia na kuomba msamaha, akisema hataniacha tena.
Tangu siku hiyo, uhusiano wetu umekuwa na nguvu na uzuri zaidi kuliko hapo awali. Amekuwa akipenda na kunijali mimi na mtoto wetu, na sasa tunafunga ndoa katika miezi miwili tu! ❤️
Shukrani zote kwa Dkt. Dawn, ambaye kwa kweli alifanya jambo lisilowezekana liwezekane. Ninampendekeza kwa moyo wote kwa yeyote anayekabiliwa na changamoto katika:
Masuala ya uhusiano au ndoa
Ugonjwa au magonjwa
Matatizo ya utasa au bahati nasibu
Kesi za mahakamani au urejeshaji wa mali
Dkt. Dawn kweli hutatua matatizo kwa ufanisi na hurudisha furaha katika maisha ya watu.
Wasiliana na Dr. Dawn kwenye WhatsApp: +2349046229159
Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com
Post a Comment