Sunday, December 28, 2008

Penzi linahitaji uvumilivu


WAKATI mwingine huwa unajisikia kumchoka mpenzi wako, kuchukua jukumu la kumuacha wako mpenzi, kumkaripia wako mpenzi, kumuona kama anakasoro fulani hivi, kumuona hakufai au hafai kuishi na wewe ikiwa pamoja na kutamani kuoa au kutafuta mwingine mpenzi.


Yote haya mambo huwa yanatokea kwa binadamu wa jinsia zote. Sasa nakuuliza kwanini unafikia hatua ya kufanya mambo kama hayo? Kama kweli uliamua kumpenda mpenzi wako ya nini tena kumchukia na kumuona hakufai?


Watalaam wa masuala ya mapenzi wanabainisha kuwa kumchukia mpenzi kunasababishwa na vitu vingi sana, ambapo mwanasaikolojia na mtaalam wa masuala ya love Haliet Julliu alifafanua katika kitabu chake cha "Bad Love - 2008" kuwa jambo la kwanza ambalo linamfanya mpenzi wako kukuchukia ni:


i)Uchufu wa mwili wako pia unapokuwa mchafu ndio unaongeza hatari ya kuchukiwa na mpenzi wako.


ii)Uchafu wa nyumba au chumba ambacho unakaa na mpenzi wako hasa hili linawahusu mwanawake, jambo hili huwa linawakera wanaume.


iii) Kupata mpenzi nje ya ndoa pia kunachakia mpenzi wako kukuchoka na kukuona hufai kisa kapata wa kumhodomola hasa akimpata anayejua mapenzi.


iv) Wewe mwenyewe kuwa mkali pindi unapomuona mpenzi wako nako kunachangia kumfanya atafute mwingine ambaye ni mpole ili apate kuliwazika zaidi kimahaba na,


v) Kuwa na wasiwasi wa kusalitiwa na mpenzi wako jambo ambalo huwa linazua mitafaruku kwa wapenzi na kusababisha kuchukizana na pengine kupelekea kuachana kabisa.


Kwahiyo nawashauri sana ndugu zangu mjitahidi kuepuka mambo kama haya ili kudumisha penzi zaidi.Sasa tujadiliane kuhusu suala hili na pia napenda kuuliza Je, penzi ni nini?






5 comments:

MARKUS MPANGALA said...

aaaaaaaaaaaaaah HAMU bwana. samahani nakusalimia tu mambo maana nina hamu siku nyingi sana hatusalimiana

Fita Lutonja said...

Haya asante fresh mtu wangu lakini imetulia? unajua yasita amepotea kwenye blogu kwani siku hizi hatumi hata maoni

MARKUS MPANGALA said...

Ngoja nimtete kidogo. Yasinta yupo safarini rafiki yangu, kwahiyo alikuwa katika maandalizi ya kusafiri ndiyo maana unaona kapotea hivyo, lakini kaaga kwamba atakuwepo mara chache. Ngoja nitajaribu kumtisha kufungua kesi si unajua mimi ni wakili wa ndoto za usiku? ha ha ha ha Yasinta yupo nitakushtua mkuu

Fita Lutonja said...

Ok fresh sana ninafurahi sana kukutana na waadishi wenzagu huria katika kibara hiki

Anonymous said...

Ushuhuda Wangu wa Kutoka Moyoni 💖

Baada ya baba yangu mdogo kuniacha kwa miezi saba mirefu, nilikuwa nimevunjika moyo kabisa. Alinizuia kwenye mitandao yote ya kijamii, akaondoka, na hakukuwa na njia ya kumfikia. Karibu nikate tamaa, lakini ndani kabisa nilijua singeweza kupata mtu yeyote ambaye angenipenda na kunitendea jinsi alivyonitendea.

Siku moja, bosi wangu kazini aligundua jinsi nilivyokuwa na huzuni na akanitambulisha kwa Dkt. Dawn. Dkt. Dawn alisikiliza hadithi yangu na akaahidi kwamba mpenzi wangu angerudi kwangu ndani ya siku tatu. Kwa kweli, sikuamini mwanzoni—lakini kwa mshangao wangu mkubwa, siku ya tatu simu yangu iliita. Ilikuwa yeye! Alikuwa akilia na kuomba msamaha, akisema hataniacha tena.

Tangu siku hiyo, uhusiano wetu umekuwa na nguvu na uzuri zaidi kuliko hapo awali. Amekuwa akipenda na kunijali mimi na mtoto wetu, na sasa tunafunga ndoa katika miezi miwili tu! ❤️

Shukrani zote kwa Dkt. Dawn, ambaye kwa kweli alifanya jambo lisilowezekana liwezekane. Ninampendekeza kwa moyo wote kwa yeyote anayekabiliwa na changamoto katika:

Masuala ya uhusiano au ndoa

Ugonjwa au magonjwa

Matatizo ya utasa au bahati nasibu

Kesi za mahakamani au urejeshaji wa mali

Dkt. Dawn kweli hutatua matatizo kwa ufanisi na hurudisha furaha katika maisha ya watu.

Wasiliana na Dr. Dawn kwenye WhatsApp: +2349046229159
Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com