
Ndugu ili upendwe unatakiwa kuwa mbunifu wa mavazi yako, uanatakiwa kutambua mavazi ambayo yanamfurahisha mpenzi wako, jambo hilo linatia hamasa ya mpenzi wako kuvuta hisia hata kama anakuhondomola, akikumbuka unavyovaa nguo zako na kukufiti anapata hamasa zaidi ya kukushughulikia ipasavyo.
Katika tafiti mbalimbali za wataalamu wa mapenzi wanafafanua kuwa binadamu akiwa anafanya mapenzi huwa fikra zake zinatawaliwa na kumfikiria mpenzi wake. Jambo hili humpelekea kupata hisia kali za kumkubuka jinsi anavyomjari, anavyovaa, anavyojituma, anavyoongea, sauti yeke jinsi ilivyotamu yote haya huwa yanaingia katika fikra za wapendanao wakati wakiwa wanakulana au kuhondomolana jambo ambali pia huwafanya wanamaliza mapema, pia humusababisha mwanamke kutoa kilio cha utamu anaoupata kwenye fikra zake, na mwanaume anaweza kutoa milio pia ya kusikia utamu unazidi jinsi anavyohondomola na kupata hisia kali za mpenzi wake.

6 comments:
nakubaliana nawe kuwa mavazi ni chachu ya mapenzi.unapomwona msichana,ile namna alivyovaa huleta mvuto wake.na ndo maana husemwa fulani kavaa kimitego.mitego ndo hayo aliyoyavaa.hata mpenzi wako,kama huwa mtanashati wakati wote hukuvutia zaidi kuliko yule anaekuwa rafu.ni hayo tu!
Fadhy ni kweli kabisa hasa ukimkuta anayejua kutega unaweza kuumia bila hata hujaanza kuhondomola
Ahsantekwa kunitembelea kaka Fita.
Lakini Blog yako Mmmmmmmm!!!!
Kaaaazi kweli kweli.
aya asante Koero Mkundi nimefurahi sana. Hasa ninapokumbuka kuwa kublogu ni sawa chakula chetu yaani bila kublogu ni sawa na kushinda njaa.
KUHONDOMOLA NI NINI JAMANI? au dada Koero unajua tujuze nawe kama wajua?
Ushuhuda Wangu wa Kutoka Moyoni 💖
Baada ya baba yangu mdogo kuniacha kwa miezi saba mirefu, nilikuwa nimevunjika moyo kabisa. Alinizuia kwenye mitandao yote ya kijamii, akaondoka, na hakukuwa na njia ya kumfikia. Karibu nikate tamaa, lakini ndani kabisa nilijua singeweza kupata mtu yeyote ambaye angenipenda na kunitendea jinsi alivyonitendea.
Siku moja, bosi wangu kazini aligundua jinsi nilivyokuwa na huzuni na akanitambulisha kwa Dkt. Dawn. Dkt. Dawn alisikiliza hadithi yangu na akaahidi kwamba mpenzi wangu angerudi kwangu ndani ya siku tatu. Kwa kweli, sikuamini mwanzoni—lakini kwa mshangao wangu mkubwa, siku ya tatu simu yangu iliita. Ilikuwa yeye! Alikuwa akilia na kuomba msamaha, akisema hataniacha tena.
Tangu siku hiyo, uhusiano wetu umekuwa na nguvu na uzuri zaidi kuliko hapo awali. Amekuwa akipenda na kunijali mimi na mtoto wetu, na sasa tunafunga ndoa katika miezi miwili tu! ❤️
Shukrani zote kwa Dkt. Dawn, ambaye kwa kweli alifanya jambo lisilowezekana liwezekane. Ninampendekeza kwa moyo wote kwa yeyote anayekabiliwa na changamoto katika:
Masuala ya uhusiano au ndoa
Ugonjwa au magonjwa
Matatizo ya utasa au bahati nasibu
Kesi za mahakamani au urejeshaji wa mali
Dkt. Dawn kweli hutatua matatizo kwa ufanisi na hurudisha furaha katika maisha ya watu.
Wasiliana na Dr. Dawn kwenye WhatsApp: +2349046229159
Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com
Post a Comment